• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Nyama ya Mbuzi ya Tanzania yauzwa Qatar

Watanzania waunganishwa na masoko ya nyama nje ya nchi

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 24, 2022
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Tani mbili za nyama ya Mbuzi zimesafirishwa jana January 23, 2022 kwenda Doha nchini Qatar.

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imesema wamefanikiwa kuwaunganisha wafanyabiashara wa ndani na masoko ya nje ya nchi ambapo kampuni ya Borema Affairs ndio wamesafirisha nyama iyo.

ADVERTISEMENT

“Nyama hiyo ni sehemu ya mkataba wa kusafirisha Tani 120 sawa na Kilo 120,000 kwa kila mwezi kwenda Doha.
Fursa Hiyo inatokana na Mkataba wa kibiashara uliosainiwa kati ya Kampuni ya Borema Affairs na kampuni ya DLYLK for Food Trade iliyopo Doha- Qatar” TanTrade.
Mkataba huo ulisainiwa mnamo tarehe 22 Disemba, 2021 na ulishuhudiwa na Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bi . Latifa Khamis.
Mkurugenzi wa Borema Affairs Bw.Thabit Mlangi ameishukuru TanTrade kwa kufanikiwa kumuunganisha na soko lenye uhakika huku akitoa wito kwa wafanyabiashara na wafugaji nchini kuendelea kuitumia Tantrade katika kutafuta masoko ya nje ya nchi .
Nae mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade ambaye ni Meneja wa Utafiti na Mipango Bw.John Fwalo ameipongeza Borema Affairs kwa kufanikisha mkataba huo kwa wakati na kutoa wito kwa wafanyabiashara nchini kutumia fursa zinazopatikana TanTrade ambazo ni za uhakika na zenye kufuata sheria na taratibu za nchi .
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TanTrade) pamoja na mambo mengine ina jukumu la kusimamia, kuratibu na kuendeleza biashara za ndani na nje ya nchi .

Soma Zaidi:Tanzania yafungua soko la parachichi Afrika Kusini

 

Tags: biasharadohaQatarTanzaniauchumi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

CRDB yashusha riba mikopo ya kilimo, wafanyakazi

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In