• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tukuze vipaji, ni ajira

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mara nyingi watu wengi hutegemea tu elimu kuwa ndio mkombozi pekee katika maisha. Ni kweli kuwa huwezi kufika mbali na kuendelea bila ya kuwa na elimu. Lakini umeshawahi kufikiria kuhusu kipaji ulichonacho? Kuendeleza kipaji chako sio njia moja wapo ya kujiajiri au kuajiriwa? Ni watu wangapi hapa nchini hupata fursa ya kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kiuchumi?

Katika jamii zetu, wazazi wengi huwa hawaangalii sana vipaji vya watoto wao. Wengi huona kama sio kitu ambacho kinampatia mtu fursa na kumjengea ajira rasmi. Wazazi wengi hupambana watoto wao wapate elimu na kufanya hivyo wakati wengine kunaua kipaji ambavyo kama vingeendelezwa, vingeweza kuwa chanzo cha ajira na kipato kizuri tu. Mifumo yetu ya elimu nayo haijaweka mkazo wa kutosha katika kukuza vipaji vya wanafunzi na kuwafungulia milango ili waone kuwa navyo pia vinaweza kuwa ajira yao.

ADVERTISEMENT

Ni muhimu kujiuliza kuwa kwanini watu wengi huona kama kukuza kipaji cha mtoto sio jambo jema? Kwani hakuna mifano hai ya watu ambao waliamini katika vipaji vyao na wakaendelea? Ni kwanini asilimia kubwa ya wazazi huona kama sanaa ni uhuni na si ajira rasmi kama zilivyo ajira nyingine? Watoto wenye vipaji waviache tu vipotee bila kuvitumia?

Ni dhahiri kuwa lazima hatua zichukuliwe ili kuondokana na dhana ya kwamba maendeleo hayawezi kupatikana kutokana na kipaji cha mtu. Kama wazazi ama walezi wote wangefikiria hivyo basi kusingekuwa na wachoraji, wachongaji vinyago, waigizaji na hata wanamuziki kote hapa nchini. Sanaa ni sekta muhimu katika maendeleo kama zilivyo hizo nyingine lakini mara nyingi huwa haipewi kipaumbele.

Kupitia shughuli za kisanaa kama vile muziki, uigizaji na hata uchoraji watu wameweza kujiajiri na wengine wameenda mbali zaidi hadi kufungua makampuni yao binafsi na kutoa ajira kwa wengine. Hakuna anayekataa kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na ni muhimu kusoma na kufikia malengo yako lakini wakati unafanya hivyo, kama una kipaji na unaamini unaweza kufika nacho mbali ni vizuri kukiendeleza na kuona ni wapi kitakupeleka.

Vijana nao wanatakiwa kujiamini kutumia vipaji vyao kujiajiri na kuanzisha miradi mbalimbali ya ujasiriamali ili kupiga vita tatizo la ajira lililopo kote hapa nchini. Kwa kujiajiri na kuweza kujiiingizia kipato, pia wanapata nafasi ya kuchangia katika pato la taifa. Ni muhimu kuonyesha juhudi na nia ya kufanikiwa ili hata wale ambao hawakuwa na imani kuwa vipaji vinaweza kutumika kujiajiri waone kuwa inawezekana.

Tags: ajiraelimumaendeleoSanaaujasiriamaliVipaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Dangote kutumia gesi asilia

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In