• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, May 23, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Biashara ya maua fursa kwa vijana

Bustani za maua

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 2, 2022
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Watu wengi wanapenda kupendezesha nyumba zao ama ofisi kwa mapambo mbalimbali ikiwemo maua.

Ama kwa hakika, bustani za maua mbalimbali zinazotunzwa vizuri ni kivutio kikubwa husasani majumbani na sehemu zingine mbalimbali.

ADVERTISEMENT

Vijana wengi wameanzisha biashara ya kuuza maua na wengine wakifanya kazi ya kutengeneza bustani (garden) kwa utaalamu.

Biashara hii ambayo inakua kwa kasi imeweza kuwakwamua kiuchumi kwa kuwapatia kipato.

Ukipita sehemu mbalimbali kando kando mwa barabara utaona bustani nzuri zilizopambwa kwa maua pamoja na mapambo mengine ikiwemo ukoka, makopo na vyungu vilivyotengenezwa kwa umaridadi kabisa vikingoja wateja tayari kwa kuuzwa.

Raheli Massawe ni mfanya biashara wa maua mkoani Kagera.

Anauza maua na makopo ya kupandia maua. Anasema “nilianza biashara ya kuuza maua mwaka juzi, mimi napenda sana maua, nilianza kwa kupand anyumbani kwangu, watu wakayapenda ndipo nikaanza kuyauza.”

Raheli anasema biashara hiyo imekua ikikua siku hadi siku, watu mbalimbali wakifika nyumbani kwake wanavutiwa na maua na huwauzia.

“Nilipoanza nilikuwa nikiwauzia maua pekee, lakini sasa nauza na makopo ya kupandia maua. Huwa ninaagiza makopo kutoka Dar es Salaam na kuyauza Bukoba. Biashara hii ni nzuri, haichukui muda wangu mwingi.” Anasema.

Ametoa wito kwa vijana kuacha wasio na ajira kujiajiri kwa kuwa wabunifu na kufanya biashara zitakazo wakwamua kiuchumi.

“Kwa sasa ajira ni ngumu sana, vijana wengi wamehitimu lakini hawana kazi za kufanya, vijana wengi wanashindwa kujiajiri kutokana na changamoto ya mitaji, kuna biashara ambazo haziitaji mitaji mikubwa kama hii ya maua, nawasihi vijana wajitume na kuanzisha biashara ndogo ndogo kuliko kutegemea kuajiriwa pekee.” amesema Rahel.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Kiswahili lugha rasmi Muungano wa Afrika

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

May 23, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

May 23, 2022

RC Makalla: Serikali imedhamiria kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara

May 19, 2022

Madereva watakiwa kuzima magari ya serikali

May 17, 2022

Waziri Mkuu apokea taarifa nyongeza ya mishahara

May 11, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

May 10, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji kuanzaia mwaka wa fedha...

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Akiwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In