• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

UMUHIMU WA TEKNOLOJIA YA KOMPYUTA KATIKA BIASHARA

Mawasiliano ya ndani na nje hufanyika kwa urahisi na haraka kupitia kompyuta.

Jensen Kato by Jensen Kato
June 9, 2020
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Uvumbuzi wa kompyuta umebadilisha tasnia nyingi duniani, Biashara na kampuni nyingi hivi sasa wanatumia kompyuta ili kurahishisha kazi. Kupitia programu sahihi ambazo hutumika katika kompyuta kampuni nyingi zimejipatia mafanikio makubwa kwa muda mfupi. Kila ofisi siku hizi hutumia kompyuta ili kurahisisha ufanisi wa kazi. Kwa wafanyabiashara wasiotumia kompyuta katika ofisi zao wakati wa kwenda na kasi ya teknolojia umewadia.

Zifuatazo ni faida za kutumia kompyuta kwa wafanyabiashara:

Mawasiliano: Mawasiliano ya ndani na nje hufanyika kwa urahisi na haraka kupitia mfumo wa barua pepe unaopatikana kwenye kompyuta. Wafanyakazi wanaweza kuwasiliana haraka zaidi kupitia kompyuta. Pia ikitokea watu wako mbali na wanahitaji kuwasiliana wanaweza kutumia kompyuta kufanya hivyo kwa kutumia programu mbalimbali za video kama Skype na nyingine nyingi.

Kuhifadhi na kuzifikia taarifa: Kupitia kompyuta mtumiaji hupata urahisi wa kuhifadhi taarifa na kumbukumbu na pindi anavyokuwa anazihitaji huwa ni rahisi kwa mhusika kuzifikia habari husika ikilinganishwa na utunzaji wa nyaraka katika makaratasi/mafaili jambo linaweza kuchukua muda kwa kampuni zenye nyaraka nyingi. Lakini kwa kompyuta utafutaji wa nyaraka hufanyika dakika chache hivyo kuepusha upotevu wa muda.

Kutengeneza mtandao (intranet): Ni rahisi kwa wafanyakazi kushirikiana kuhusu masuala ya kazi kupitia kompyuta kwa urahisi zaidi. Hii inatumika pia kwa programu na usimamizi wa kompyuta, ambazo hupunguza gharama za ofisi, kwani wanaweza kununua bidhaa moja ya programu inayoweza kusambazwa badala ya kununua nakala nyingi kwa kila mtu.

Uzalishaji: Inaelezwa kuwa matumizi ya kompyuta husaidia mambo mengine mbali na kutuma ujumbe, usimamiaji wa data, upokeaji wa habari.

ADVERTISEMENT

Aidha, kila jambo lenye faida huwa na hasara zake hivyo ni muhimu kwa watumiaji kutumia kompyuta kwa kiasi ili kuepuka changamoto mbalimbali. Pia matumizi ya muda mrefu ya kompyuta humaanisha muda mrefu wa kukaa jambo ambalo linaweza kuleta athari kIafya.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

FAIDA NNE ZA KUTUMIA MABANDA YA KISASA KWA UFUGAJI

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In