• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafanyabiashara na serikali washirikiane kujenga Tanzania imara

Patricia Richard by Patricia Richard
June 19, 2018
in BIASHARA
0
Machinga wapigwa stop kuuza barabarani
Share on FacebookShare on Twitter

Biashara ni sekta muhimu kwa nchi yoyote ile katika kuchangia uchumi wa nchi. Hakuna nchi ambayo itaendelea bila ya kuwa sekta imara ya biashara. Lakini ili sekta hii ikomae lazima wafanyabiashara na serikali washirikiane ili kujenga mazingira mazuri ya biashara. Mojawapo kati ya changamoto kubwa katika sekta hii ni kodi.

Wakati Wizara ya Fedha na Mipango ikiwasilisha bajeti yake bungeni mwaka jana, Dk. Philip Mpango ambaye ndiye Waziri katika kitengo hicho cha serikali alisema kuwa jumla ya biashara zilizofungwa hadi kufikia Juni 2017 ni 2,700. Alisema katika maelezo yake kuwa serikali haipaswi kulalamikiwa kutokana ha hali hiyo kwa kuwa wafanyabiashara wengi wemeshindwa kufanya shughuli zao kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sheria zilizopo.

Wafanyabiashara wamekuwa wakilalamikia tozo za kodi na kulaumu kuwa zinakuwa kubwa kuliko faida wanayoingiza hivyo hali hiyo imepelekwa wengi kufunga biashara zao na kutokomea huku wakiacha nyuma madeni kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

ADVERTISEMENT

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka hiyo wamekuwa na tabia ya kuwatoza kodi wafanyabiashara katika njia ambayo inawakosesha amani kwa kuwa hawafuati taratibu ambazo mamlaka hiyo imejiwekea hali ambayo wafanyabishara wengi wamekuwa wakiona kama ni uonevu wa wanyonge, jambo ambalo linawavunja moyo katika shughuli zao. Watumishi wachache wanaoharibu taswira ya TRA wanapaswa kuchukuliwa hatua na kuvuliwa jukumu hilo mara moja.

Serikali inawajibu wa kuandaa programu maalum ambayo itaruhusu wafanyabiashara kukutana nao mara kwa mara hivyo kuwapa fursa ya kujadili changamoto zinazowakabili moja kwa moja ili kuonyesha kuwa serikali ina nia njema na sekta hiyo na lengo la wafanyabiashara hao pamoja na serikali ni moja.

Nchi yetu inatakiwa kuondokana na hali hii ya biashara zaidi kufungwa. Kufungwa kwa biashara hizi kunaathiri watu wengine ambao labda walikuwa wakijiingizia kipato halali hivyo hali hii haipelekei kudorora kwa uchumi kwa serikali na wafanyabiashara tu, bali athari zinaelekezwa kwa jamii yote kwa namna moja au nyingine

Tags: biasharakodiTRAuchumi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Taasisi za fedha zinapoteza fursa vijijini

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In