• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafanyabiashara wanaokwepa kodi kubanwa

Hakuna taifa linalopata maendeleo pasipo wananchi kulipa kodi

Patricia Richard by Patricia Richard
December 10, 2018
in BIASHARA
0
Uchumi uko imara- Dk. Kijaji

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango,Dk. Ashatu Kijaji.

Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashatu Kijaji ametoa siku moja kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukabidhi taarifa ya idadi ya mashine mbovu za kielektroniki maarufu kama EFD zilizopo Kariakoo jijini Dar es salaam, ili serikali iweze kubaini wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa makusudi. Dk. Kijaji amesema hayo baada ya kupita na kununua vitu mbalimbali katika eneo hilo ambapo baadhi ya maduka walidai mashine zao ni mbovu hivyo kushindwa kumpatia risiti za EFD.

ADVERTISEMENT

“Kama Wizara tunahitaji kupata haya yote kuhusu udanganyifu unaofanywa na wafanyabiashara wa Kariakoo, ikiwa ni pamoja na kujua kuna mashine ngapi mbovu. Hiki kipindi watu wengi wananunua hivyo wafanyabiashara wasipotumia mashine tunapoteza kodi nyingi. Tunataka kujua tumepoteza kodi kiasi gani tangu mwezi Septemba mwaka huu hadi sasa katika duka hili la vifaa vya michezo kwa kuwa mashine yao imekuwa mbovu kipindi chote hicho. Hiki ndicho kimenizuia nisiende Dodoma ili nishughulike na suala hili kwanza”. Ameeleza Dk. Kijaji.

Aidha, Dk. Kijaji amesisitiza kuwa, hakuna taifa linalopata maendeleo pasipo wananchi kulipa kodi na kuwataka wafanyabiashara kufika ofisi husuka wanapokutana na tatizo. Kwa upande wake, Kaimu Kamishna wa kodi za ndani kutoka TRA, Abdul Mapembe amesema wamepokea maagizo hayo na tayari wameanza kuyafanyia kazi huku akisisitiza kuwa, zoezi la kuwasaka wafanyabiashara wanaokwepa kodi ni endelevu kwani baadhi yao wamekuwa wakifanya vitendo hivyo kwa makusudi.

Tags: Dk. Ashatu KijajiEFDKariakookodiTRA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Ubadilishaji fedha kutungiwa kanuni

Maduka ya kubadili fedha yataendelea kufungwa-BoT

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In