• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafanyabiashara wanaokwepa kodi kubanwa

Hakuna taifa linalopata maendeleo pasipo wananchi kulipa kodi

Patricia Richard by Patricia Richard
December 10, 2018
in BIASHARA
0
Uchumi uko imara- Dk. Kijaji

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango,Dk. Ashatu Kijaji.

Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashatu Kijaji ametoa siku moja kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukabidhi taarifa ya idadi ya mashine mbovu za kielektroniki maarufu kama EFD zilizopo Kariakoo jijini Dar es salaam, ili serikali iweze kubaini wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa makusudi. Dk. Kijaji amesema hayo baada ya kupita na kununua vitu mbalimbali katika eneo hilo ambapo baadhi ya maduka walidai mashine zao ni mbovu hivyo kushindwa kumpatia risiti za EFD.

ADVERTISEMENT

“Kama Wizara tunahitaji kupata haya yote kuhusu udanganyifu unaofanywa na wafanyabiashara wa Kariakoo, ikiwa ni pamoja na kujua kuna mashine ngapi mbovu. Hiki kipindi watu wengi wananunua hivyo wafanyabiashara wasipotumia mashine tunapoteza kodi nyingi. Tunataka kujua tumepoteza kodi kiasi gani tangu mwezi Septemba mwaka huu hadi sasa katika duka hili la vifaa vya michezo kwa kuwa mashine yao imekuwa mbovu kipindi chote hicho. Hiki ndicho kimenizuia nisiende Dodoma ili nishughulike na suala hili kwanza”. Ameeleza Dk. Kijaji.

Aidha, Dk. Kijaji amesisitiza kuwa, hakuna taifa linalopata maendeleo pasipo wananchi kulipa kodi na kuwataka wafanyabiashara kufika ofisi husuka wanapokutana na tatizo. Kwa upande wake, Kaimu Kamishna wa kodi za ndani kutoka TRA, Abdul Mapembe amesema wamepokea maagizo hayo na tayari wameanza kuyafanyia kazi huku akisisitiza kuwa, zoezi la kuwasaka wafanyabiashara wanaokwepa kodi ni endelevu kwani baadhi yao wamekuwa wakifanya vitendo hivyo kwa makusudi.

Tags: Dk. Ashatu KijajiEFDKariakookodiTRA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Ubadilishaji fedha kutungiwa kanuni

Maduka ya kubadili fedha yataendelea kufungwa-BoT

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In