• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tamasha la wanawake wajasiriamali kuzinduliwa leo

Patricia Richard by Patricia Richard
October 18, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage leo hii anatarajia kuzindua Tamasha la Mwanamke Mjasiriamali Tanzania (MOWE) linalolenga kutambulisha ubunifu, taaluma na ufundi wa kutengeneza bidhaa za mikono. Tamasha hilo litakalofanyika katika viwanja vya Nyerere jijini Dodoma pia litatumika kama fursa ya kutambulisha bidhaa za wanawake wajasiriamali wapatao 250 kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ujumla.

Mwenyekiti wa tamasha hilo Louis Kiluwa ameeleza kuwa tamasha hilo linafanyika mahali hapo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake rasmi mwaka 2006 likiwa na lengo la kuunga mkono uamuzi wa Rais John Magufuli wa kuhamishia makao makuu ya nchi jijini humo na hivyo kuwapa fursa mbalimbali wananchi. Kiluwa amesema kuwa wameamua kufanya tamasha hilo Dodoma ili kuwapa hamasa wajasiriamali katika mkoa huo.

ADVERTISEMENT

Tamasha la Mwanamke Mjasiriamali Tanzania limeandaliwa kwa pamoja na wawakilishi wa vikundi takribani 20 vya ujasiriamali pamoja na taasisi za serikali ili kutoa nafasi ya kuonyesha vipaji walivyonavyo wajasiriamali. Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ambalo ni moja kati ya taasisi za serikali zilizoalikwa katika tamasha hilo, Rhoida Andusamile amesema wapo bega kwa bega na wajasiriamali katika kuhakikisha bidhaa zao zinazingatia ubora na viwango.

Tags: Charles MwijageDodomaEACMOWETBS
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa akiwa katika Mitambo ya Maji Mangamba, Mtwara Mjini.

Mbarawa ataka vyanzo vya maji kutunzwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In