• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Songas yalipa gawio la TZS 8.8 bilioni kwa Taasisi za Serikali

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
September 5, 2019
in NISHATI
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Songas, Nigel Whittaker (kati) akizungumza na waandishi habari kuhusu gawio walilotoa kwa serikali. Kushoto ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Songas Anael Samuel na Kulia ni Afisa Mkuu wa Masoko wa Songas, Sebastian Kastuli

Mkurugenzi Mtendaji wa Songas, Nigel Whittaker (kati) akizungumza na waandishi habari kuhusu gawio walilotoa kwa serikali. Kushoto ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Songas Anael Samuel na Kulia ni Afisa Mkuu wa Masoko wa Songas, Sebastian Kastuli

Share on FacebookShare on Twitter

Songas Limited, kampuni ya kitanzania inayoongoza kwa kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya gesi, imeilipa serikali TZS 8.8 bilioni, kama gawio la hisa zake katika kampuni.

Kampuni ya Songas Limited ni mshirika wa serikali katika kufikia mahitaji ya nishati ya umeme nchini Tanzania na umiliki wake unajumuisha taasisi za nishati – Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Tanzania Development Finance Company Limited (TDFL) pamoja na Globeleq, kampuni binafsi ya uzalishaji wa umeme yenye shughuli zake barani Afrika.

Afisa Mkuu wa Fedha wa Songas Limited, Bw. Anael Samuel, amesema TANESCO itapokea TZS 2.2 bilioni huku TPDC ikipokea TZS 6.6 bilioni, kila gawio litakatwa kodi ya zuio (withholding tax) na pia kiasi hicho kimetokana na uwiano wa hisa zinazomilikiwa na taasisi hizo kwenye kampuni ya Songas.

Serikali pia inanufaika kupitia 32% ya hisa zake katika TDFL, inayopokea TZS 1.8 bilioni kama gawio.  Vile vile, serikali itanufaika kupitia kodi ya zuio kwenye gawio inayokusanywa na TRA.

Songas imelipa jumla ya shilingi za kitanzania bilioni 121.6 tangu mwaka 2012 kama gawio kwa serikali na tasisi zake, na pia kuchangia shilingi za kitanzania bilioni 139.3 kama kodi za mapato ya kampuni.

ADVERTISEMENT

“Tangu mwaka 2004, Songas imekuwa ikiwezesha dhamira ya kuipeleka Tanzania katika uchumi wa viwanda kwa kuchangia takribani 20% ya nishati ya uhakika na kwa bei nafuu katika gridi ya taifa, huku ikiendelea kusambaza gesi asilia katika viwanda mbalimbali, Dar es Salaam.  Songas inatoa mbadala wa nishati kwa gharama nafuu na kuiweka kampuni kama mzalishaji muhimu wa nishati katika ukanda huu” alisema Bw. Nigel Whittaker, Mkurugenzi Mtendaji wa Songas Limted

Bw. Whittaker aliongeza kuwa kampuni inampango wa kuongeza uzalishaji kutoka 180MW mpaka 250 MW ili kufukia mahitaji ya nishati yanayokuwa kwa kasi sana na kuchangia katika sera ya ukuwaji wa viwanda nchini.

Kwa sasa Songas anaongoza kwa kuzalisha nishati kwa bei nafuu katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa kutumia nishati ya gesi inayopatikana nchini. TPDC inakadiria tangu kuanza kwa shughuli za Songas 2004, kampuni imeokoa takribani TZS 11 trilioni kwa uchumi wa Tanzania.

Tags: SongasTANESCOTDFLTPDC
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post
Tumia 50/20/30 kuweka akiba

Biashara zenye mafanikio huzingatia haya

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In