• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, September 25, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wahitimu SUA kupata donge nono

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
July 23, 2018
in AJIRA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wahitimu wapatao 100 kila mwaka katika chuo cha Kilimo cha Sokoine kilichopo Morogoro wanatarajia kunufaika kupitia gawio la Sh.Bilioni 2 ambazo zitakuwa zikitolewa na Taasisi Binafsi ya Kusaidia Sekta ya Kilimo Nchini (PASS).

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa PASS Nicomed Bohay baada ya kuingia makubaliano na SUA kwa lengo la kuwaandaa kwa vitendo wajasiriamali vijana wanaohitimu katika chuo hicho katika fani mbalimbali hususan kilimo.

Bohay alisema lengo kuu ni kuwawezesha wahitimu hao kupata mitaji pamoja na nyenzo mbalimbali ili kuwajengea hali na uwezo uwezo wa kusimamia miradi ya kilimo na biashara.

Alisema wajasiriamali vijana watakaojihusisha na uzalishaji wa mboga mboga, kwenye mahema, ufugaji wa kisasa wa samaki, kuku, mbuzi, usindikaji na viwanda vidogo vidogo ndio watakaopewa kipaumbele ili kujihakikishia uzalishaji bora wa bidhaa zinazotokana na kilimo kwa ajili ya masoko ya ndani na nje.

ADVERTISEMENT

“Wenzetu SUA wametoa eneo la kutosheleza kwa miradi ya wajasiriamali vijana kwa lengo la kuhakikisha vijana wetu wanapata mahali pa kuanzia kabla ya kujitegemea”Alisema Bohay.

Kwa upande wake Makamu mkuu wa SUA, Prof, Raphael Chibunda alisema kuwa ushirikiano kati ya PASS na chuo hicho umekuja kwa muda mwafaka na kuwataka wahitimu na watafiti chuoni hapo kuichangamkia fursa hiyo.

“Kwetu sisi mradi huu wa kuwalea wahitimu wetu kwa kuwapatia mitaji, nyenzo na ushauri wa maeneo maalumu ya kutekeleza kile walichokisoma darasani kwa vitendo,ni faraja sana kwani siku zote tumekuwa tukiwaandaa vijana wetu kukabiliana na changamoto za maisha huko mtaani kwa kutumia elimu waliyoipata hapa chuoni”. Alisema Prof. Chibunda

Tags: ajira.fedhakilimoPassSUA
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Kila biashara inahitaji mitandao ya kijamii

Mambo ya kuzingatia unapoanzisha biashara mtandaoni

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In