• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wahitimu SUA kupata donge nono

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
July 23, 2018
in AJIRA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wahitimu wapatao 100 kila mwaka katika chuo cha Kilimo cha Sokoine kilichopo Morogoro wanatarajia kunufaika kupitia gawio la Sh.Bilioni 2 ambazo zitakuwa zikitolewa na Taasisi Binafsi ya Kusaidia Sekta ya Kilimo Nchini (PASS).

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa PASS Nicomed Bohay baada ya kuingia makubaliano na SUA kwa lengo la kuwaandaa kwa vitendo wajasiriamali vijana wanaohitimu katika chuo hicho katika fani mbalimbali hususan kilimo.

Bohay alisema lengo kuu ni kuwawezesha wahitimu hao kupata mitaji pamoja na nyenzo mbalimbali ili kuwajengea hali na uwezo uwezo wa kusimamia miradi ya kilimo na biashara.

ADVERTISEMENT

Alisema wajasiriamali vijana watakaojihusisha na uzalishaji wa mboga mboga, kwenye mahema, ufugaji wa kisasa wa samaki, kuku, mbuzi, usindikaji na viwanda vidogo vidogo ndio watakaopewa kipaumbele ili kujihakikishia uzalishaji bora wa bidhaa zinazotokana na kilimo kwa ajili ya masoko ya ndani na nje.

“Wenzetu SUA wametoa eneo la kutosheleza kwa miradi ya wajasiriamali vijana kwa lengo la kuhakikisha vijana wetu wanapata mahali pa kuanzia kabla ya kujitegemea”Alisema Bohay.

Kwa upande wake Makamu mkuu wa SUA, Prof, Raphael Chibunda alisema kuwa ushirikiano kati ya PASS na chuo hicho umekuja kwa muda mwafaka na kuwataka wahitimu na watafiti chuoni hapo kuichangamkia fursa hiyo.

“Kwetu sisi mradi huu wa kuwalea wahitimu wetu kwa kuwapatia mitaji, nyenzo na ushauri wa maeneo maalumu ya kutekeleza kile walichokisoma darasani kwa vitendo,ni faraja sana kwani siku zote tumekuwa tukiwaandaa vijana wetu kukabiliana na changamoto za maisha huko mtaani kwa kutumia elimu waliyoipata hapa chuoni”. Alisema Prof. Chibunda

Tags: ajira.fedhakilimoPassSUA
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Kila biashara inahitaji mitandao ya kijamii

Mambo ya kuzingatia unapoanzisha biashara mtandaoni

Discussion about this post

Habari Mpya

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

February 8, 2023

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

by Pesatu Reporter
February 8, 2023
0

Sio lazima uingie darasani na upate elimu katika mfumo rasmi ndipo uweze kufanikiwa katika maisha. Ndivyo wanavyoweza kusema kikundi cha...

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In