• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

BODI YA UTALII TANZANIA YAWEKA MIKAKATI KUTANGAZA VIVUTIO

Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii nchini tanzania,Jaji Thomas mihayo ameitisha mkutano na mabalozi wanaoiwakilisha tanzania ukanda wa Asia na Australia

Jensen Kato by Jensen Kato
June 10, 2020
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na Australia kwa lengo la kuimarisha mikakati thabiti ya utekelezaji wa kuvitangaza vivutio vya utalii wakati wa kipindi hiki ambapo sekta ya utalii duniani imeathirika na janga la Corona.
Mkutano huo uliyofanyika kwa njia ya mtandao uliendeshwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANZANIA TOURIST BOARD, Jaji Thomas Mihayo na kuhudhuriwa na Mabalozi wa Tanzania wa ukanda huo; Mhe. Balozi Dkt. Ramadhani Dau wa Malaysia, Balozi Mbelwa Kairuki wa China, Balozi Baraka Luvanda wa India, Balozi Matilda Masuka wa Korea Kusini, Balozi Hussein Kattanga wa Japan, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia, Wizara ya Mambo ya Nje Bw. Caesar Waitara pamoja na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZCT), Dkt. Abdulla Juma.
Akifungua mkutano huo, Jaji Mihayo aliwasihi Mabalozi hao kutumia hadhi zao za kibalozi katika kuwahamasisha na kuwavutia watu mashuhuri, wanamuziki, wanasiasa na mabalozi wenzao wa nchi wanazofanyia kazi ili waje Tanzania kuvitembelea vivutio vya asili.
Katika mkutano huo ulioandaliwa na kuratibuwa na TTB, Mkurugenzi Muendeshaji wa TTB, Bi. Devota Mdachi aliwasilisha andiko linaloonesha hali ya utalii wa Tanzania kwa sasa na mikakati iliyoanza kutekelezwa ya kutangaza utalii wa Tanzania katika kipindi hii ambacho nchi nyingi zimefunga mipaka yao.
Aidha, kwa upande wao, Mabalozi pia waliwasilisha mikakati yao na hatimaye mapendekezo jinsi ya kuuza utalii kwenye masoko yao hususan baada ya kipindi cha COVID 19. Mojawapo ya maazimio yaliyojitokeza kwenye mkutano huo ni namna ya kutumia teknologia mpya na mitandao ya kijamii ili kufikisha ujumbe wa kuwavutia watalii. Aidha kwa pamoja walikubaliana kuongeza juhudi madhubuti za kutangaza utalii katika makundi mbalimbali kama vile Jumuiya za Wafanyabiashara na Jumuiya za Kibalozi kwenye masoko ambayo huko nyuma Tanzania ilikua haijitangazi.
Juhudi na mkikakati iliyojadiliwa katika mkutano huu unatarajiwa kuongeza idadi ya watalii kutoka katika masoko hayo. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Maliasili na Utalii zinaonyesha mwaka 2018 Tanzania ilitembelewa na watalii 79,852 kutoka ukanda huo wa Asia na Australasia.
TTB inatarajia kufanya mkutano kama huo na mabalozi wa ukanda wa ulaya hivi karibuni ikawa ni muendelezo wa mikakati ya kujipanga vizuri katika kutangaza utalii wa Tanzania baada ya janga la Corona.

 

ADVERTISEMENT
Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

TTCL WASAINI MKATABA WA BILIONI TANO KUSAIDIA MAWASILIANO VIJIJINI

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In