• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Rais mstaafu Jakaya Kikwete ausifu mradi wa Hayati Rais Magufuli

Viongozi watembelea mradi wa umeme

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
July 20, 2021
in UWEKEZAJI
0
Mradi wa umeme wa maji bwawa la Mwlaimu Nyerere. Picha|Global Tv Online

Mradi wa umeme wa maji bwawa la Mwlaimu Nyerere. Picha|Global Tv Online

Share on FacebookShare on Twitter

Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ameusifia mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji wa Mwalimu Nyerere uliochwa na Rais wa awamu ya tano Hayati John Pombe Magufuli.

Rais Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi pamoja na viongozi wengine wametembelea mradi huo wa megawati 2115 unaotarajiwa kukamilika June, 2022.

“Kwanza mimi nashangaa tuu, kwa sababu nimehusika na kujenga power station mbili kipindi nilichokuwa waziri lakini hazikuwa kubwa kama hizi, kwa hiyo ukiangalia ukubwa wa hii power station na kazi kubwa iliyofanyika ni kazi kwa kweli ya sifa kubwa, ni kazi inayostahili pongezi,” amesema Rais Kikwete.

Rais Kikwete ametoa pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Tano iliyokuwa chini ya Hayati Rais Magufuli kwa kuonesha uthubutu kwa kuanzisha ujenzi wa mradi huo ambapo ameshauri Wizara ya Nishati kuhakikisha inaweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa fursa zitakazoambatana na kukamilika kwake.

Amesema “nina uhakika Rais Samia Suhulu Hassan, atahakikisha mradi huu unakwenda sambamba na matarajio ya mtangulizi wake na kukamilika kwa wakati.”

Ameongeza kuwa, kukamilika kwa mradi huo, kutakuwa  na manufaa makubwa kwa Taifa sambamba na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa nzima kwa ujumla.

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: biasharagesikilimoTanzaniauchumiumeme wa majiuwekezaji
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Benki ya CRDB yazindua programu ya mafunzo kwa wahitimu vyuo vikuu

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In