• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

JINSI YA KUANDAA MPANGO WA KIBIASHARA

Je,unafahamu njia madhubuti ya kuaandaa mpango wa kibiashara?

Jensen Kato by Jensen Kato
May 27, 2020
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Biashara yoyote ile inapaswa kuwa na mpango wa biashara. Mpango wa biashara unasimama kama mwongozo na vilevile unahitajika ili kuwavutia wawekezaji na kuwapa picha halisi ya muelekeo wa biashara yako. Watanzania wengi hawana utaratibu huu. Wengi bado huanzisha biashara kiholela, hali ambayo si salama kama lengo ni kuona biashara yako inafika mbali.

ADVERTISEMENT

Hivyo basi, Unafahamu namna bora ya kuandaa mpango wako wa biashara? Ni vitu gani havipaswi kukosekana katika mpango huo? Japokuwa kuandaa mpango wa biashara inaweza kuwa ni changamoto kwa walio wengi, hizi ni baadhi ya hatua ambazo unaweza kufuata ili kuandaa mpango wako wa biashara.

ADVERTISEMENT
  1. Fanya utafiti
  • Ni lazima ufanye utafiti na kuelewa vizuri bidhaa yako, kufahamu soko lako ni nani hasa, kujua ni namna gani unaweza kuwavutia wateja na vilevile kuwashawishi kuendelea kuwa wateja wako wa muda mrefu.
  1. Fahamu lengo la mpango huo
  • Wakati unaandaa mpango wako ni vizuri kufahamu ni nini hasa unalenga kupata kutokana na mpango huo. Kila mfanyabiashara huwa na malengo tofauti. Ni vizuri kuwa na lengo kuanzia mwanzo na kuweka lengo hilo wazi katika mpango wako.
  1. Andaa wasifu wa kampuni
  • Wasifu unahusisha masuala kama historia ya kampuni, huduma zinazopatikana, nani hasa ni wateja wako na vilevile kitu kinachotofautisha biashara yako na nyingine. Ni vizuri kuwa na tovuti ili kuvutia wateja au wawekezaji.
  1. Usiache kitu katika mpango wako
  • Wakati unaandaa mpango wa biashara ni muhimu kutoacha jambo lolote. Hii inasaidia kumuonyesha muwekezaji ni namna gani unatumia na kutengeneza fedha. Ni muhimu kuhusisha masuala kama kodi na matumizi ya fedha katika mpango wako ili kutengeneza picha halisi kwa wawekezaji na wadau wengine.
  1. Kuwa na mkakati wa masoko
  • Mpango mzuri wa biashara lazima uwe na kipengele hiki. Mkakati wa biashara lazima uonyeshe malengo na mbinu za kufanikisha malengo hayo. KIla biashara inadhamiria kupata wateja zaidi, kuweka bidhaa mpya sokoni na kuipeleka biashara mbele kwa ujumla.
Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

JE UNA KADI ZA BIASHARA?,SOMA KUJUA UMUHIMU WAKE

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In