• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vibali kuagiza sukari nje ya nchi mwisho mwaka huu

Serikali kusitisha vibali vya kuagiza sukari nje 2022

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 16, 2021
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter
Serikali imesema haitatoa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi ifikapo 2022 hivyo makampuni ya kuzalisha sukari yanatakiwa kuongeza kasi ya uchakataji wa miwa ya wakulima na kuzalisha sukari ya kutosha mahitaji ya ndani.
Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda amesema “mwaka huu vibali vya kuagiza sukari itakayopungua vitatolewa kwa utaratibu wa kawaida, lakini ifikapo mwaka 2022 hakutakuwa na vibali vya viwanda na ikilazimu basi Bodi ya sukari ndio itapewa kibali cha kuagiza sukari itakayopungua”.

Prof. Mkenda alisema serikali inafuatilia kwa karibu utendaji kazi wa viwanda vya kuchakata sukari nchini kuona kama vinaweka mikakati ya kuongeza uzalishaji wa sukari kwa kushirikiana na wakulima wa miwa kwa kuwa mpango wa serikali ifikapo 2022 ni kuacha kuagiza bidhaa hiyo kutoka nje ya nchi.

Alisema “tatizo letu la upungufu wa sukari halitokani na kukosa miwa, bali ni uwezo mdogo wa viwanda vya kuchakata miwa yote ya wakulima mchini hali inayosababisha baadhi ya miwa ya wakulima wetu kukosa soko”.

Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emanuel Kalobelo alisema mkoa huo una viwanda vitatu ambavyo bado uzalishaji wake n mdogo.

Alivitaja viwanda hivyo na uzalishaji wake kuwa ni Kilombero Sugar Ltd I na Kilombero Sugar II ambapo kwa pamoja huzalisha tani 126,000 na kiwanda cha Mtibwa tani 50,000, huku uzalishaji wa miwa kwenye bonde la Kilombero unaofanywa na wakulima wadogo ukiwa umefikia wastani wa tani 800,000 hadi 1,000,000 na uwezo wa kiwanda cha Kilombero ni kuchakat tani 600,000 tu za wakulima hao kwa mwaka.

Takwimu za Bodi ya Sukari Tanzania  zinaonyesha kuwa uzalishaji kwa mwaka ni takribani tani 300,000 ambapo kwa mwaka 2020/2021 ulifikia tani 377,527 huku mahitaji kwa matumizi ya kawaida na viwandani ni tani 655,000.

ADVERTISEMENT
Tags: sukariTanzaniaTanzania ya viwanda
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Tanzania yasaini mikataba Sh bn 307.9 kuboresha huduma

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In