• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, November 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vodacom yatoa msaada wa kompyuta 30 shule ya Msingi Mbwanga mjini Dodoma

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
January 16, 2019
in BIASHARA
0
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu akimkabidhi Afisa Elimu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mwisungi Kigosi (wapili kulia) na Mkuu wa shule ya Msingi Mwanga, Rajabi Bakari (Kulia), moja kati ya kompyuta 30 zilizotolewa na kampuni ya Vodacom kwa shule ya Msingi Mbwanga Dodoma hivi karibuni kama mpango wa kuisaidia serikali kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi.

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu akimkabidhi Afisa Elimu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mwisungi Kigosi (wapili kulia) na Mkuu wa shule ya Msingi Mwanga, Rajabi Bakari (Kulia), moja kati ya kompyuta 30 zilizotolewa na kampuni ya Vodacom kwa shule ya Msingi Mbwanga Dodoma hivi karibuni kama mpango wa kuisaidia serikali kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi.

Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom imetoa msaada wa kompyuta 30 kwa shule ya msingi Mbwanga mjini Dodoma. Hii ni katika juhudi za kampuni hio kusaidia mpango wa serikali wa kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi .

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu akimkabidhi Afisa Elimu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mwisungi Kigosi (wapili kulia) na Mkuu wa shule ya Msingi Mwanga, Rajabi Bakari (Kulia), moja kati ya kompyuta 30 zilizotolewa na kampuni ya Vodacom kwa shule ya Msingi Mbwanga Dodoma hivi karibuni kama mpango wa kuisaidia serikali kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi.
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano Vodacom, Jacquiline Materu akitoa mkono wa shukrani na Afisa Elimu wa Wilaya  ya Dodoma Mjini Mwisungi Kigosi (katikati) na Mkuu wa shule ya Msingi Mbwanga, Rajab Bakari, kwa msaada wao, katika hafla ya kukabidhi kompyuta 30 zilizotolewa na Vodacom kwa shule ya Msingi Mbwanga Dodoma hivi karibuni kama mpango wa kuisaidia serikali kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na kuhakisha wanafunzi wanapata elimu ya kidijitali kuanzia elimu ya msingi .
Tags: Jacquiline MateruMwisungi KigosiRajabu BakariShule ya Msingi MbwangaVodacom Tanzania
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post
Rwanda kuongeza uwekezaji Tanzania

Tanzania, Rwanda kuimarisha biashara

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In