• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tanzania, Rwanda kuimarisha biashara

Patricia Richard by Patricia Richard
January 16, 2019
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Rwanda kuongeza uwekezaji Tanzania

Waziri wa Miundombinu wa Rwanda, Claver Gatete.

Share on FacebookShare on Twitter

Mawaziri wa Tanzania na Rwanda wamekutana na kujadili mbinu bora zaidi ya usafirishaji mafuta ili bidhaa hiyo iweze kufika Rwanda kwa wakati. Katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dar es salaam, mawaziri waliokutana ni Waziri wa Miundombinu wa Rwanda Balozi Claver Gatete, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe pamoja na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani.

Baada ya kumalizika kwa kikao hicho, Waziri Kamwelwe ameeleza kuwa, wamekutana na kiongozi huyo kutoka Rwanda ili kuona namna bora zaidi ya kusafirisha mafuta kwa kutumia reli na Bandari za Dar es salaam, Mwanza na Bukoba huku akiongeza kuwa, wamefanikiwa kuunda timu kwa ushirikiano wa nchi zote mbili kufanya utafiti wa kina na kuangalia njia bora zaidi ya usafirishaji.

ADVERTISEMENT

“Wamekuwa wakibeba mizigo yao kwa kutumia malori kutoka Bandari ya Dar es salaam hadi Rwanda, lakini kwa kuwa tunayo miundombinu mizuri ya reli basi tunataka ianze kutumika kusafirisha mizigo hiyo. Tutaweka miundombinu ya matenki pamoja na bandari kavu katika Bandari ya Bukoba ili shehena ya mizigo inayokwenda nchi ya Rwanda zichukuliwe katika bandari hiyo”. Ameeleza Waziri Kamwelwe.

Kwa upande wake, Balozi Gatete wa Rwanda amesema lengo kuu ni kuimarisha uhusiano mzuri wa biashara uliopo baina ya mataifa hayo mawili.

“Hapa tumejadiliana jinsi ya kutumia bandari ya Bukoba kusafirisha mizigo yetu, njia hii ni fupi zaidi ikilinganishwa na ya kutoka Bandari za Dar es salaam au Mombasa hadi Kigali, Rwanda na hivyo kuwa na faida kubwa zaidi kiuchumi”. Amesema Balozi Gatete.

Tags: bandaribiasharamafutamiundombinureliRwandausafirishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

TADB ongezeni kasi malipo ya korosho-Waziri Mkuu

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In