• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafugaji kuku sasa kupata soko la uhakika kupitia ufugaji wa mkataba

Mradi huu utamwezesha mfugaji kupata soko la uhakika wa kuku wake

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
November 27, 2020
in BIASHARA
0
Kuku wa kisasa wakiwa bandani. Picha| Mtandao

Kuku wa kisasa wakiwa bandani. Picha| Mtandao

Share on FacebookShare on Twitter

Mradi wa ufugaji wa kuku kwa mkataba ulioanzishwa na Platnum Kuku una lengo la kuwainua wafugaji kiuchumi kwa kuwapa soko la uhakika pindi wanapotaka kuuza kuku hao.

Mkurugenzi wa Platnum Kuku, Ally Mbarouk anasema mkataba huo ni baina ya mfugaji na Platnum Kuku ambapo mfugaji atanunua vifaranga na mahitaji mengine ikiwamo chakula kipindi chote cha ufugaji.

Huu ni mradi wenye lengo la kuwainua wafugaji kiuchumi, kwa wao kuwekeza katika biashara ya ufugaji wa kuku.

“Sisi kazi yetu ni kumhakikishia soko la uhakika kwa kuwanunua kuku wako wote bandani wakiwa tayari. Kwa maana hiyo ukishafuga hauna mawazo ya kutafuta soko la kuuza kuku,” ameeleza Mbarouk.

Mbarouk amesema wajasiriamali wengi wamekuwa waoga kuwekeza kwenye ufugaji wa kuku kutokana na kukosekana kwa masoko ya uhakika.

ADVERTISEMENT

“Tumeona tuje na huu mradi wa ufugaji wa mkataba ili kuwashika mkono wafugaji wanaoanza ufugaji pamoja na wale ambao wameshaanza kufuga. Mbali na kuwauzia vifaranga amabvyo ni bora, pia tunawapa usimamizi na mwongozo wa kitaalam,” amesema.

Ameeleza kuwa mfugaji ataweza kununua vifaranga kuanzia 200 hadi 500 ambapo kwa mfugaji anayeanza itamgharibu takribani mtaji wa laki tisa (900,000).

 

 

Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Mkurugenzi wa Trade Mark Afrika Mashariki John Ulanga (kulia) akifafanua jambo wakati wa programu ya mwanamke wa wakati ujao. Wengine ni kutoka kushoto Mshauri wa Kimataifa wa Teknolojia Peter Ulanga, Cynthia Bavo na mshauri wa digitali Kai Mollel.

Wanawake wahamasishwa kutumia fursa za digitali kukuza uchumi

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In