• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, January 15, 2021
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wanawake wahamasishwa kutumia fursa za digitali kukuza uchumi

Wadau wa digitali wakutana kujadili fursa

Ndeni by Ndeni
November 27, 2020
in BIASHARA
0
Mkurugenzi wa Trade Mark Afrika Mashariki John Ulanga (kulia) akifafanua jambo wakati wa programu ya mwanamke wa wakati ujao. Wengine ni kutoka kushoto Mshauri wa Kimataifa wa Teknolojia Peter Ulanga, Cynthia Bavo na mshauri wa digitali Kai Mollel.

Mkurugenzi wa Trade Mark Afrika Mashariki John Ulanga (kulia) akifafanua jambo wakati wa programu ya mwanamke wa wakati ujao. Wengine ni kutoka kushoto Mshauri wa Kimataifa wa Teknolojia Peter Ulanga, Cynthia Bavo na mshauri wa digitali Kai Mollel.

Share on FacebookShare on Twitter

Wanawake wa Kitanzania wametakiwa kuamka na kuwa wabunifu kwa kutumia fursa za kidigitali kukuza na kutangaza biashara zao.

Wadau wa digitali walitoa wito huo jijini Dar es Salaam wakati wa programu ya mwanamke wa wakati ujao iliyoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kwa kushirikiana na Confederation of Norwegian Enterprises.

John Ulanga ambae ni Mkurugenzi wa TradeMark Afrika Mashariki alisema kwa sasa digitali sio tena mbadala kwa kuwa ina fursa nyingi zenye matokeo chanya katika maisha ya watu.

Alisema wanawake wanaweza kuwa washindani katika kuwasilisha mada zao kwenye mitandao ya kijamii iwapo tu wataweza kufikia hadhira yao kwa maudhui sahihi na kwa muda muafaka.

“Labda kama hutaki kufanikiwa, lakini unahitaji kufikia malengo yako, ni lazima utumie fursa za kidigitali kwa sababu huko ndiko dunia ilipo na ndio njia ya kujulisha ulimwengu unachofanya,” alisema Ulanga.

Mshauri wa mawasiliano ya digitali ambae pia ni mjasiriamali Kai Mollel alisema mitandao ina fursa nyingi ambazo bado hazijatumika.

“Siku hizi wanawake wengi wanatumia muda wao mwingi kwenye mitandao ya kijamii bila kuingiza kipato chochote, wanatumia muda wao na vifurushi vya mtandao kutafuta vitu ambavyo havina manufaa kwao, wengi hawajui fursa kubwa iliyopo katika uchumi wa digitali,” alisisitiza Mollel.

ADVERTISEMENT

Mollel alisema bado kuna uhitaji mkubwa wa kutoa elimu na mwamko kuhusu fursa zilizopo katika masoko ya mtandaoni hususani kwa wanawake.

Anabahati Mlay ambae ni mratibu wa programu ya mwanamke wa wakati ujao kutoka ATE alisema mkutano huo wenye kauli mbiu ya “kuunganisha vipawa vya wanawake katika uchumi wa digitali” uliunganisha wanawake kutoka sekta binafsi na taasisi za uma kujadili na kubadilishana utaalamu utakaosaidia kuwawezesha wanawake kufikia ndoto zao kupitia teknolojia.

Ndeni

Ndeni

Next Post
Raisi wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi

Zanzibar kutumia rasilimali mbadala ya bahari kukuza uchumi

Discussion about this post

Habari Mpya

Tiketi za mabasi sasa kwa njia ya mtandao

January 12, 2021

Watanzania wengi hawajui bima ya maisha 

January 12, 2021
Wajasiriamali wameanza mnada leo katika Stendi ya daladala Mawasiliano Simu 2000. Picha |Mtanzania Digital

Sh500, mjasiriamali kupata eneo kufanya mnada kituo cha daladala Mawasiliano

January 8, 2021

Bei ya petroli yashuka, dizeli yapanda

January 6, 2021

NMB yatoa zawadi zenye dhamani ya milioni 28

January 6, 2021

Sekta ya mifugo na uvuvi inufaishe wananchi: Waziri Ndaki

December 31, 2020
No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2021 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Create New Account!

Fill the forms below to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In