• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Watanzania watakiwa kuchangamkia  fursa soko la Malawi

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
March 11, 2023
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mamlaka ya Maendeleo ya biashara Tanzania (TanTrade) 9Machi 2023 imeratibu mkutano Kwa njia ya Teknolojia ya Mtandao baina kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi wenye lengo la kujadili fursa za kibiashara zilizopo kati ya Tanzania na nchi ya Malawi.

Mkutano huo umeshirikisha Taasisi mbalimbali za serikali pamoja na Wafanyabiashara.

Akizungumza katika mkutano huo, Balozi wa Tanzania nchini Malawi Humphrey Polepole ameeleza kuwa nchini Malawi  kuna fursa mbalimbali zinazopatikana  katika sekta ya kilimo, ujenzi, mafuta , bidhaa za viwandani, chakula cha mifugo.

Ametaja pia uwepo wa kiwanda kikubwa cha mbao cha MDF ambacho kinazalisha mbao kwa wingi na kusambaza kwenye masoko mbalimbali.

Imeelezwa kubwa bidhaa zinazouzwa na Tanzania nchini Malawi ni pamoja na bidhaa za viwandani kama vile sabuni ya kufulia na usafi, bidhaa za urembo na vipodozi, bidhaa za glasi kama vile chupa na vifungashio, mifuko, nguo, vifaa vya shule na magari.

Kadhalika bidhaa zinazonunuliwa na Tanzania kutoka nchini Malawi ni pamoja na bidhaa za kilimo hususni karanga zenye maganda mekundu, maharage, soya na bidhaa za viwanda mathalani mashudu, sukari na mbao.

ADVERTISEMENT

Pia Balozi polepole ametoa wito kwa wafanyabiashara kutoka Tanzania kushiriki kwa wingi katika kongamano la kibiashara litakalojulikana kama Tanzania-Malawi Trade and Investment Forum litalofanyika nchini Malawi Aprili 26 hadi 28 2023, lenye lengo la kushirikisha Wafanyabiashara wa sekta mbalimbali  kutoka Tanzania na Malawi na kuwapatia fursa za kupanua wigo wa biashara.


Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Latifa Mohamed Khamis amesema kuwa kikao hicho kina lengo  la kujadili fursa za ukuzaji na uendelezaji wa mahusiano ya biashara baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na  Malawi.
“Katika miaka mitano iliyopita biashara ya bidhaa kati ya Tanzania na Malawi ilikuwa ni Dola za Marekani (USD) milioni 73.5 sawa na shilingi bilioni 171.4 , ambapo Tanzania ilikuwa na mauzo nchini Malawi ya USD milioni 52.8,” amebainisha.

Tags: biasharafursa za biasharaMalwiTanzania
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla akizungumza katika kongamano la wamachinga.

Ujenzi wa masoko kushirikisha machinga

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In