• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, November 28, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Waziri Tizeba atoa neno TRA

Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba ameishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuangalia uwezekano wa kubadilisha mfumo wanaoutumia katika kukusanya kodi hivi sasa kwani mfumo huo sio rafiki kwa wafanyabiashara.

Patricia Richard by Patricia Richard
October 26, 2018
in BIASHARA
0
Waziri wa Kilimo,Dk. Charles Tizeba.

Waziri wa Kilimo,Dk. Charles Tizeba.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba ameishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuangalia uwezekano wa kubadilisha mfumo wanaoutumia katika kukusanya kodi hivi sasa kwani mfumo huo sio rafiki kwa wafanyabiashara. Dk. Tizeba amesema hayo baada ya kutembelea banda la TRA katika maonyesho ya SIDO kitaifa yanayofanyika mkoani Simiyu. Waziri huyo amedai kuwa mfumo ambao TRA umekuwa sio rafiki kwa wafanyabiashara na kupelekea baadhi yao kushindwa kuendeleza biashara zao.

Dk. Tizeba amefafanua kuwa moja ya mfumo huo ni ule ambao mfanyabiashara anapaswa kulipa kodi ndani ya siku 90 kutoka siku ya kwanza aliyoanza kufanya biashara yake, hali ambayo amedai si haki kwa wafanyabiashara.

ADVERTISEMENT

“Kwanini huyu mfanyabiashara anapoanza biashara yake asiachwe kwanza mpaka mwaka mzima ndipo aweze kulipa hiyo kodi, maana akifanya biashara mwaka mzima atakuwa tayari amepata faida na atalipa kodi, hawezi kukimbia maana amepata faida. Lakini kwa mfumo huu, miezi mitatu anatakiwa kulipa kodi haujui kama amepata faida au hajapata, mimi siukubali hata kidogo, hauko rafiki sana na wakulima wetu na wafanyabiashara, unawafanya kuacha na kukimbia bishara zao”. Amedai Dk. Tizeba.

Akiongelea maonyesho hayo kwa ujumla, Waziri Tizeba amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajifunza teknolojia mbalimbali za ujasiriamali ili kuongeza uzalishaji kwenye bidhaa zao.

 

 

 

Tags: Charles TizebakodiSidoTRAuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

Serikali yaitaka Wizara ya Kilimo kujitathmini

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In