• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Utoroshwaji madini kudhibitiwa

Wizara ya madini imeweka vipaumbele ambavyo vitasaidia sekta hiyo kuimarika na kuwanufaisha watanzania wote.

Patricia Richard by Patricia Richard
October 26, 2018
in UZALISHAJI
0
Huduma za mahala pamoja ziimarishwe-Kairuki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Angellah Kairuki.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Madini Angellah Kairuki amesema serikali inaendelea kujipanda na kuweka mikakati ili kudhibiti utoroshwaji wa madini katika maeneo ya uzalishaji na yale ya mipakani. Kairuki amesema hayo wakati akifungua jukwaa la sekta ya uzinduaji Tanzania ambapo ameeleza kuwa Wizara ya Madini imeweka vipaumbele ambavyo vitasaidia sekta hiyo kuimarika na kuwanufaisha watanzania wote. Waziri Kairuki ametaja baadhi ya vipaumbele hivyo kuwa ni pamoja na uwajibikaji katika sekta hiyo na uzinduaji kwa ujumla ikiwa ni pamoja na uimarishwaji wa ukusanyaji mapato ya serikali yanayotokana na rasilimali za madini.

“Tuna uhakika wa kufanikisha lengo hili kwa kuwa tuna mikakati madhubuti ya kuimarisha ukaguzi wa migodi mikubwa, ya kati na ya uchimbaji mdogo ili kupata taarifa sahihi za maeneo ya uwekezaji, uzalishaji, mauzo na kodi mbalimbali”. Ameeleza Waziri Kairuki.

ADVERTISEMENT

Aidha, Waziri huyo amesema kuwa wataendelea kuwawezesha wachimbaji wadogo pamoja na wale wa kati katika kuhakikisha wanatoka hatua waliyopo hivi sasa na hatimaye kuwa wachimbaji wakubwa.

“Wizara imetenga maeneo manne nchini kwa ajili ya wachimbaji wadogo na kuendelea kutenga mengine na kwamba kabla ya kuyagawa yatabainishwa uwepo wa mashapo ya madini na taasisi yetu ya GST ya utafiti wa madini, ili kuepusha kufanya uchambuzi kwa kubahatisha”. Amesema Kairuki.

Tags: Angellah KairukimadiniMapato ya serikaliuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Kilimo,Dk. Charles Tizeba.

Waziri Tizeba atoa neno TRA

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In