• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kampuni za bima zashauriwa kutowaacha nyuma wakulima

Patricia Richard by Patricia Richard
August 29, 2018
in BIMA
0
Uchumi uko imara- Dk. Kijaji

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango,Dk. Ashatu Kijaji.

Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa kampuni zinazoshughulika na masuala ya bima kutoa huduma hiyo kwa wakulima ili nchi ifanikishe lengo la kufikia uchumi wa kati. Dk. Kijaji ametoa ushauri huo jijini Arusha wakati akifungua mkutano wa 41 wa Umoja wa kikanda wa kampuni za bima za nchi za mashariki na kusini mwa Afrika (OESAI).

Dk Kijaji amebainisha kuwa takribani asilimia 75 ya watanzania ni wakulima na wengi hawana elimu juu ya bima ikiwemo kupata mikopo ya bei nafuu itakayowawezesha kutatua changamoto za kilimo na kufikia malengo. Naibu Waziri huyo amezitaka kampuni za bima nchini kuangalia kundi hilo la wakulima, ili nao wanufaike kupitia bidhaa wanazozalisha, kwa kuwa kundi hilo ni kubwa na ni fursa kwa kampuni hizo kuongeza idadi ya watumiaji wa bima.

ADVERTISEMENT

Naye Kamishna wa bima kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Nchini (Tira) Dk. Baghayo Saqware amesema kufanyika kwa mkutano huo hapa nchini ni nafasi nzuri kwa kampuni za bima kujifunza jinsi kampuni za nje zinavyofanya kazi kwa ufanisi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mkutano huo, Khamis Suleiman amedai lengo kubwa la mkutano huo ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2020, asilimia 50 ya watanzania wanakuwa wamiliki wa aina yoyote ya bima. Hivi sasa Tanzania inashika nafasi ya pili kwa nchi za Afrika Mashariki kwa huduma za bima.

 

Tags: bimaDk. Ashatu KijajimikopoOESAIwakulima
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kaimu Naibu Kamishna wa Upelelezi wa Kodi wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA),Salim Kessi.

Uhalifu wa kodi Afrika Mashariki kudhibitiwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In