• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, May 23, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

Serikali kubana matumizi kupunguza makali bei ya mafuta

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
May 10, 2022
in BIASHARA
0
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassani ametangaza mkakati wa kubana matumizi ya Serikali katika bajeti ya matumizi ili kupata fedha za kupunguza makali ya ongezeko la bei ya mafuta nchini.

Ongezeko hilo linalosababisha kuongezeka kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali.

Katika taarifa ya Rais Samia kwa vyombo vya habari Mei 9, 2022 amesema Serikali imesikia kilio cha wananchi cha kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo.

“Katika mwaka wa fedha unaoanza Julai mwaka huu tutachukua hatua mbalimbali za kikodi kuweka ahueni kwa wananchi.

ADVERTISEMENT

“Ndugu wananchi kasi za kupanda kwa bei ya mafuta imetikisa nchi zote duniani, tajiri na maskini, zenye kuzalisha mafuta na zenye kuagiza mafuta, Tanzania kama nchi inayoagiza mafuta haijapona kwenye janga hili.

Serikali imesikia kilio cha wananchi kuhusu ukali wa maisha unatokana na kuongezeka kwa bei ya bidhaaa mbalimbali, ameeleza Rais”.

“Hata hivyo, kutoa nafuu za kupanda kwa bei za mafuta hakuwezi kusubiri hadi mwaka huu wa fedha, nimeamua kwa hiyo wananchi waanze kupata nafuu kuanzia tarehe Mosi Juni.

Nimeelekeza kwamba, Serikali tujibane na tujinyime ili kupata fedha kutoka kwenye matumizi ya kawaida ya Serikali ili ziende kutoa nafuu za bei ya mafuta kuelekea mwaka wa fedha,” amesema Rais Samia.

Vilevile Rais Samia amesema hatua zaidi za kikodi zitatangazwa na Waziri wa fedha katika bajeti ya Serikali mwezi ujao.

“Serikali inatambua adha inayotokana na kupanda kwa bei na hatutasita kuchukua hatua stahiki. Wakati huo huo ni muhimu pia kutambua kwamba yapo matukio ya kidunia yanayosababisha bei kupanda yaliyo nje ya uwezo wetu.

Jambo muhimu hata zaidi ya bei ni upatikanaji wa mafuta yenyewe, bahati nzuri nchini yetu imefanya kazi nzuri kuhakikisha haijakaukiwa na mafuta kama tunavyoona kwenye nchini nyingine, amesema Rais Samia”.

Amewapa pole Watanzania wote kwa kadhia iliyojitokeza.

Tags: AlizetiBiashara ya MafutaDizeliPetrolirais samiaSamia Suluhu HassanTanzania
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Waziri Mkuu apokea taarifa nyongeza ya mishahara

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

May 23, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

May 23, 2022

RC Makalla: Serikali imedhamiria kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara

May 19, 2022

Madereva watakiwa kuzima magari ya serikali

May 17, 2022

Waziri Mkuu apokea taarifa nyongeza ya mishahara

May 11, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

May 10, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji kuanzaia mwaka wa fedha...

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Akiwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In