• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kwanini vijana wana nafasi nzuri zaidi ya kufanikiwa

Patricia Richard by Patricia Richard
October 5, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Vijana washauriwa kupiga vita umaskini
Share on FacebookShare on Twitter

Uthubutu wao wa kujaribu vitu tofauti

Tofauti na makundi mengine, vijana wamekuwa mstari wa mbele kujaribu biashara au shughuli mbalimbali na hivyo kufahamu soko katika taswira zaidi ya moja. Kufanya hivi kumesaidia vijana wengi kujua ni nini hasa aina mbalimbali ya wateja wanataka hivyo kuwaweka katika nafasi nzuri zaidi ya kufanya biashara ambayo itaendana na mahitaji ya jamii inayowazunguka kwa wakati huo.

Vijana wamekuwa wabunifu na wanaendana na wakati

ADVERTISEMENT

Kipindi cha huko nyuma, waliojikita katika ujasiriamali walikuwa wanafanya tu shughuli zao pasipo kuzingatia ubunifu na utofauti ili kujiweka katika nafasi ya juu kwa wateja wao. Hali kwa sasa ni tofauti, vijana ambao kadri siku zinavyokwenda ndio wamekuwa wakijikita zaidi katika ujasiriamali wamekuwa sio tu wafanyabiashara bali wabunifu katika kile wananchofanya na idadi kubwa wameonyesha kufanikiwa kutokana na kujitofautisha na wengine.

Wapo katika nafasi nzuri zaidi ya kufanya utafiti na kuepuka kufanya makosa yaliyofanywa na wengine

Vijana wengi wameweka nia ya kujifunza, kufanya utafiti na kufahamu soko vizuri kabla ya kuwekeza katika biashara au shughuli fulani kwa asilimia zote. Wengi wamekuwa wakijifunza kutoka kwa wajasiriamali wengine ambao wamekuwepo kwa muda mrefu, kupitia matamasha pamoja na makongamano ambayo hutangazwa na mashirika au taasisi na wadau mbalimbali wa maendeleo. Kufanya hivyo kumesaidia wengi wao kuepuka makosa ambayo pengine hufanywa na watu wengi, hali ambayo imewaweka katika nafasi nzuri ya kufanikiwa.

Mitandao ya kijamii

Katika karne hii ya teknolojia, mitandao ya kijamii ina nchango mkubwa sana katika biashara, ujasiriamali na ukuaji wa uchumi. Kwa vijana, hii imekuwa njia rahisi zaidi ya kuzungumza, kushauriana na kutangaza kile unachofanya. Mitandao kama Instagram na Facebook imekuwa na matokeo mazuri kibiashara kwani imesaidia kufikisha huduma maeneo mbalimbali mnchini kirahisi. Vijana wengi wamekuwa wakitumia fursa hii kukuza na kuimarisha biashara zao.

Mipango na Majukumu

Enzi za wazazi wetu, wajasiriamali wengi tayari walikuwa na majukumu au mipango mengine hivyo walishindwa kuwekeza muda wao wote katika biashara. Wengi tayari walikuwa wazazi, walezi au wakifanya vitu vingine ambavyo vilipelekea majukumu kama biashara kutokuwa kipaumbele. Hivi sasa, vijana wengi kabla hata ya kuwekeza rasmi katika ujasiriamali hujiwekea mipango na mikakati madhubuti hivyo kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuhakikisha malengo waliyojiwekea yanatimia.

Tags: biasharamaendeleoubunifuuchumiujasiriamalivijana
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Ruth Bura mteja wa benki ya Stanbic akifungua chupa ya champagne na wafanyakazi wa benki hiyo, Edward Nyerere (kushoto), Jacquiline Michael (wa pili kushoto) na Elikaneny Uloto (kulia) wakati wa sherehe za wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Centre.

Benki ya Stanbic kuwashukuru wateja wao

Discussion about this post

Habari Mpya

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In