• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kilimo cha Alizeti kinalipa

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ukizungumzia mazao muhimu ya biashara basi bila shaka, lazima utazungumzia zao la alizeti. Zao hili limechangia kwa kiasi kikubwa kuwainua wakulima kiuchumi na kuongeza pato la taifa. Mbegu za alizeti hutengeneza mafuta ambayo yanatumika kupitia wakati makapi yanayotokana na mbegu hizo ni chakula bora kwa mifugo. Kwa mujibu wa takwimu kutoka  kitengo cha mbegu za mafuta katika Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Mbeya, mkulima anaweza kuvuna hadi magunia matano ya alizeti katika hekta moja ya shamba.

Alizeti hulimwa kwa wingi mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro, Ruvuma, Mbeya, Arusha, Rukwa pamoja na Manyara. alizeti hutegemea sana hali ya hewa ya eneo husika. Maeneo yenye mvua nyingi, zao la alizeti hupandwa mwishoni mwa Januari hadi katikati ya Februari, wakati katika maeneo yenye mvua kidogo mkulima anaweza kupanda kuanzia mwezi Desemba hadi katikati ya mwezi wa kwanza.

ADVERTISEMENT

Adui mkubwa wa kilimo hiki ni ndege ambao huweza kuteketeza hadi asilimia 50 ya mazao yote shambani, mara nyingi inashauriwa kutopanda alizeti karibu na msitu au pori kwasababu ya uwepo wa ndege. Mkulima anayefanya au anayetarajia kufanya kilimo hiki anapaswa kuwa na mbinu mbadala ya kuepuka mashambulizi ya ndege. Wengi hutumia sanamu, makopo au hukaa na kufukuza makundi ya ndege wenyewe. Bila ya kuweka ulinzi shambani kwako, ndege wanaweza kuharibu mazao yako yote. Mbali na ndege, aina hii ya kilimo pia huweza kushambuliwa na magonjwa mengine kama vile madoa ya majani, kuoza kwa mizizi na hata virusi.

Ili kuepukana na magonjwa ya aina hiyo, ni vizuri kufanya kilimo cha mzunguko wa mazao, kupanda mbegu safi ambazo zimethibitishwa na wataalamu, kuchoma masalia kila baada ya msimu kumalizika na kutumiwa dawa kuua wadudu endapo mazao yako yataonyesha dalili ya kudhoofika. Ni muhimu kutafuta wataalamu wa masuala ya kilimo pale unapohitaji msaada.

Alizeti ni zao zuri sana la biashara na wakulima wengi zaidi wamekuwa wakijitika katika aina hii ya kilimo. Japokuwa uwekezaji katika zao hili umekuwa mdogo tofauti na mazao mengine, kilimo hiki kimeonyesha mafanikio makubwa hapa nchini. Wakulima wanatakiwa kuacha kufanya kilimo cha mazoea na kuwekeza zaidi katika mazao haya ya biashara ambayo yana faida kubwa zaidi sio kwao tu bali kwa taifa. Sekta ya kilimo inabadilika hivyo wakulima wanatakiwa kufikiria kufanya kilimo cha biashara na kujiendeleza kiuchumi.

 

 

Tags: Alizetibiasharakilimouwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mkopo wa NSSF Machinga Complex wafika bilioni 57

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In