• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Hatununui mahindi yasiyo na ubora-NRFA

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
September 20, 2018
in KILIMO
0
Kaimu afisa mkurugenzi mkuu wa NFRA Vumilia Zinkakuba akizungumza na waandishi wa habari.

Kaimu afisa mkurugenzi mkuu wa NFRA Vumilia Zinkakuba akizungumza na waandishi wa habari.

Share on FacebookShare on Twitter

Wakala wa taifa wa hifadhi ya chakula (NFRA) amewataka wakulima kuzingatia uzalishaji wa mahindi bora ili kuweza kupata soko hasa la ndani hususani kwa kipindi hiki ambapo msimu wa kununua mazao umeanza. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Dodoma, Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFRA,Vumilia Zikankuba amesema nchi ina chakula cha kutosha hivyo kwa msimu huu wa kwanza wa ununuzi bei ya NFRA itakuwa wastani wa Sh. 380 hadi Sh. 400 kwa kilo.

Pia alisisitiza umuhimu wa kuzalisha mahindi bora licha ya kupata soko la ndani pia huchagiza kupatikana kwa soko la nje na huepusha chakula kinachohifadhiwa kuharibika kwa muda mfupi.

ADVERTISEMENT

”Haiwezekani kutumia pesa za serikali kununua mahindi yasiyokizi vigezo na viwango vya serikali hasa yasiyo na ubora na machafu”. Amesema.

Kuhusu elimu kwa wananchi juu ya uzalishaji wa mahindi bora, Zinkakuba alisema elimu hiyo imeshatolewa kupitia vikundi vya wakulima na vyombo vya habari na tayari matunda yameanza kuonekana kwa baadhi ya maeneo kama makambako,sumbawanga na mpanda wamezalisha na kuuza mahindi yenye ubora kwa NFRA. Aliongeza kuwa lengo la serikali ni kwenda uchumi wa kati wa viwanda hivyo mahindi bora ni muhimu kwani hayatumiki kwa chakula pekee bali kutengenezea bidhaa mbalimbali hivyo upatikanaji wa malighafi zenye ubora ni muhimu.

Kuhusu viwango vya mahindi, Zikankuba alisema viwango vya unyevunyevu vinatakiwa kutozidi asilimia 13.5,takataka asilimia 0.5 na punje zilizovunjika zisivuke asilimia 2.

NFRA ni taasisi ya serikali yenye jukumu la kutunza chakula kwa ajili ya dharura hasa majanga kama mafuriko na mengineyo yanayofanana na hayo.

Tags: kilimomahindimalighafiserikalisokouboraviwanda
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post

SGR yatandikwa rasmi

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In