• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wahandisi wazawa washauriwa kushirikiana

Patricia Richard by Patricia Richard
September 8, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,Elias Kwandikwa.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,Elias Kwandikwa.

Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa ametoa wito kwa waandisi hapa nchini kuungana na kuwa kitu kimoja kwani kufanya hivyo kutaisukuma serikali kuwapa miradi mikubwa zaidi. Kwandikwa ametoa ushauri huo wakati akifunga mkutano wa mwaka wa wahandisi na kuwasisitiza wahandisi hao kufanya kazi na kuzingatia maadili yaliyopo ili kutekeleza miradi kwa viwango vinavyotakiwa.

Akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Kwandikwa amesisitiza kuwa taaluma ya uhandisi ina mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa.

ADVERTISEMENT

“Shughuli ya uhandisi ni skeleton ya nchi, ni muhimu kwa uchumi wa nchi. Bodi inahitaji kusimamia maadili ya wahandisi, wapo wahandisi ambao wamesimamishwa kazi kwa kukiuka maadili ya kazi yao”. Amedai Naibu Waziri huyo.

Akizungumzia kuhusu jitihada zinazofanywa kuwawezesha wazawa. Naibu Waziri Kwandikwa amesema mchakato wa kuwawekea utaratibu wa kisheria wahandisi kutoka nje umeanza. Katika utaratibu huo, imeelezwa kuwa wahandisi wa nje ya nchi watalazimika kufanya kazi kwa pamoja na wahandisi wazawa katika utekelezaji wa miradi ya serikali.

Naye Kaimu Msajili wa ERB, Mhandisi Patrick Balozi amesema kutakuwa na mabadiliko katika kifungu cha 13 na 14 cha Sheria ya Bodi hiyo ili kutoa nafasi kwa wazawa kushirikiana na wahandisi wa nje kwenye miradi ya serikali.

Tags: ERBmaendeleouchumiwahandisi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Perece Kirigiti akimkabidhi Gervas Mfubusa, moja kati ya wahitimu waliochaguliwa kuingia kwenye programu ya 'Discover Graduate'. Discover Graduates ni programu ya miaka miwili iliyodhamiriwa kufunza na kusaidia wahitimu bora kutoka vyuo mbalimbali nchini kuja kuwa viongozi bora wa kesho.

Programu ya Vodacom kufanikisha kupata viongozi wa baadaye

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In