• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Anachoweza mwanaume, mwanamke anaweza pia

Patricia Richard by Patricia Richard
June 29, 2018
in WANAWAKE NA MAENDELEO
0
Wanawake washirikishwe zaidi kiuchumi- Balozi Donnell
Share on FacebookShare on Twitter

Kumekuwa na malalamiko kwa muda mrefu sasa kuwa hakuna usawa wa kijinsia nchini. Tatizo hili sio la hapa kwetu pekee bali lipo katika mataifa mengi duniani. Wanawake hawapewi vipaumbele na kuwekwa mstari wa mbele kama ilivyo kwa wanaume katika sekta mbalimbali za maendeleo. Makundi na taasisi mbalimbali zimejitokeza kukemea ubaguzi wa kijinsia lakini bado kuna changamoto kubwa katika kutatua tatizo hili sugu.

Swali la kujiuliza hapa ni, kwanini jamii inafikiria ni sawa kumuweka mwanamke katika ngazi ya chini na kuamini kuwa wanaume ndio watawala? Chimbuko hasa la imani au fikira hii ni nini? Kwanini wanawake hawahusishwi na kushirikishwa katika sekta muhimu za kukuza uchumi sawa na wanaume?

Wanawake hasa wa vijijini wanaachwa nyuma kimaendeleo. Mwezi Mei mwaka jana, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) lilisema katika moja ya taarifa zake kuwa, inasikitisha na kufadhaisha kuona ukosefu wa usawa wa kijinsia barani Afrika. Shirika hilo lilisisitiza kuwa katika kundi hilo, wanawake ni wengi. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya wanawake wasiojua kusoma na kuandika ipo juu zaidi kulinganisha na ile ya wanaume.

Ni muhimu kujiuliza je hatua gani zinachukuliwa hapa nchini ili kupambana na hali hii? Serikali inatengeneza njia ili kuhakikisha wanawake wana haki sawa kama wanaume? Kisheria, kuna hatua zozote zinazochukuliwa ili kuhakikisha wanaotekeleza vitendo hivi vya kibaguzi wanaadhibiwa? Watoto wetu wanafundishwa kuanzia ngazi ya familia kuwa wanawake na wanaume wote ni sawa? Haya ni baadhi ya maswali muhimu ya kujiuliza.

Takwimu za Jukwaa la Uchumi Duniani zinaonyesha kuwa wanawake wengi hunyimwa nafasi za kazi katika idara mbalimbali japokuwa vyeti vyao huonyesha wana elimu sawa na wanaume. Katika takwimu hizo pia, inaonekana wanawake hupata fursa finyu za kiuchumi na kibiashara huku wanaume wengi wakipata fursa hizi kwa uraisi zaidi.

ADVERTISEMENT

Ni wakati sasa wa wanawake kupigania usawa na kuacha kulalamika bila ya kuchukua hatua zozote. Wanawake wanapaswa kujituma zaidi na kulenga mambo makubwa wawapo katika mahala pao pa kazi. Uonevu huu hautafika mwisho kama wanawake wenyewe hawatakuwa mstari wa mbele kuulaani na kuukemea. Ni wakati wa kuonyesha jamii kuwa wao pia wanaweza na hawatokaa kimya pale ambapo wanaona wanaonewa na kunyimwa haki zao za msingi kwa kisingizio cha kwamba wao sio wanaume.

Serikali nayo ina wajibu wa kuweka mazingira rafiki kwa wanawake. Viongozi wa kike nao watumie sauti waliyonayo kukemea ubaguzi wa kijinsia na pia watumie nguvu yao kuinua wanawake na watoto wa kike kwa ujumla. Changamoto hii ipo kwa kiasi kikubwa hapa nchini lakini wanawake wakiungana na kupiga vita tatizo hili kwa umoja, basi bila shaka watapiga hatua.

 

Tags: maendeleouchumiUNDP
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mchango mkubwa walionao washauri wa biashara

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In