• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Jinsi ya kuwa salama mtandaoni

Toa taarifa katika benki yako ikiwa kutakuwa na makosa au tatizo lolote.

Abdul Kassim by Abdul Kassim
July 3, 2020
in BENKI, BIASHARA, UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Uwezo wa kutumia huduma ya benki kwa kupitia mtandao umeleta urahisi zaidi katika maisha ya watu wengi lakini pia imekuwa ni fursa kwa wezi. Inaelezwa kuwa kutumia huduma ya benki kwa kutumia mtandao ni salama zaidi ikiwa ni pamoja na kutokurahisisha wezi kupora fedha zako.

Lakini kuna baadhi ya vitu ambavyo unaweza kufanya ambavyo vinaweza kusababisha fedha zako zisiwe salama, hivyo zingatia haya kuhakikisha unafanya miamala ya benki kwa usalama kupitia mtandao:

ADVERTISEMENT

Taarifa binafsi.Watu wengi wametapeliwa kwa sababu ya kutoa habari binafsi wakidhani kuwa ni benki zao ndio zinahitaji habari hizo. Hivyo kuwa makini, usitoe habari zako binafsi kuhusu akaunti yako kwa mtu yeyote ambaye atakuuliza kwani hata siku moja, benki yako haiwezi kuuliza habari zako ikiwa ni pamoja na namba yako ya simu, barua pepe, akaunti namba au hata neno la siri. Ndio maana hata Polisi imekuwa ikijitahidi kuwakumbusha wananchi kuhusu suala la wizi unafanywa mtandao na watu wanaotuma ujumbe wakimtaka mhusika kutuma fedha katika namba ngeni au wengine wanaopiga simu na kudai kuwa wanahitaji taarifa za mhusika ili wamtumie kiasi cha fedha. Ni muhimu kuwa makini na kuhakikisha kuwa taarifa zako binafsi unazijua mwenyewe.

Watu wanatakiwa kuwa makini na mitandao ya umma ikiwa ni pamoja na maunganisho ya data katika migahawa, maduka, hoteli n.k hasa wakiwa wanataka kufanya miamala ya fedha kupitia mtandao kwa sababu huwa hakuna usalama wa kuaminika. Ikiwa ni muhimu kufanya muamala muda huo basi tumia data ya simu yako ya mkononi .

Vilevile  ni muhimu kutumia programu za kisasa na vifaa vya kisasa ukiwa unafanya miamala kupitia mtandao hii itakusaidia kuepukana na vitisho au usumbufu usio na muhimu. Epuka kutumia kompyuta za zamani au ambazo hazijaidhinishwa kufanya miamala ya kifedha.

Ikiwa akaunti yako itakuwa imeathiriwa na udanganyifu au makosa basi itakuwa rahisi kulindwa (katika akaunti yako binafsi). Unashauriwa kutoa taarifa katika benki yako husika ili kuhakikisha tatizo lolote linapewa usumbufu kwa haraka na ulinzi unaendelea kuwa wa juu.

Abdul Kassim

Abdul Kassim

Next Post

ZIFAHAMU MBINU ZA KUKUZA BIASHARA YA CHAKULA

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In