• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Misaada imepungua, nchi inapitia kipindi kigumu-Dk. Mpango

"Lazima tujitegemee na ili tujitegemee serikali kuu, serikali za mitaa lazima zijielekeze kukusanya mapato ya ndani"

Patricia Richard by Patricia Richard
December 15, 2018
in FEDHA
0
Foleni Dar kubaki historia.

Waziri wa Fedha na Mipango,Dk.Philip Mpango.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema kufuatia wafadhili kupunguza misaada huku ile iliyosalia ikiwa na masharti, yakiwemo ya kukubali ushoga, nchi hivi sasa inapita kwenye kipindi kigumu. Dk. Mpango amesema hayo jijini Dodoma wakati akifunga mkutano kati ya Wizara hiyo na watoa huduma za serikali katika ukusanyaji mapato na kueleza kuwa, misaada imeporomoka sana na hata ile iliyobaki ina masharti mengi ya ovyo.

“Mtakuwa mmesikia jinsi ambavyo sasa wanafika mahali, hata bila aibu, wanasema sisi tuvumilie ushoga, Mnakubali? Mnakubali niende kuomba hela ya nchi halafu kuchekelea ushoga hata mbuzi hawafanyi? Tukipeleka jeshi letu kudhibiti magendo, wanasema tunarudisha nyuma biashara ya usafirishaji hapa nchini. Inawezekana? Kwa hiyo ninachotaka kuwaambia ni nini? Marehemu Baba wa Taifa alitufundisha kwamba tumepata uhuru wa bendera, lakini tuna kazi ya kutafuta uhuru wa kiuchumi”. Amesema Waziri Mpango na kuongoza kuwa:

“Sasa hapo ndipo shughuli pevu lazima tujitegemee na ili tujitegemee serikali kuu, serikali za mitaa lazima zijielekeze kukusanya mapato ya ndani ndiyo maana yake hakuna nyingine.”

Dk. Mpango ameeleza kuwa, serikali ikidhibiti madini wanasema wanafukuza wawekezaji na kwamba wamechukua miaka 57 sasa inatosha.

“Ninachotaka kuwaambia salamu zangu, kila mtanzania popote alipo hasa nyie mliomo humu ndani kila mtu aweke Tanzania moyoni mwake. Ni lazima kusimamia ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa nguvu zote na hasa kwa kutumia mfumo huu wa GePG (wa njia ya kielektroniki), lazima twende kisasa”. Alisema.

ADVERTISEMENT

Waziri huyo amesisitiza kuwa mfumo huo utasaidia kupata mapato yote stahiki kwa ajili ya kuendesha serikali kuu pamoja na serikali za mitaa.

“Hakuna mjomba, mjomba anayekutakia ya ovyo ovyo namna hiyo hapana ‘enough is enough’ (inatosha). Kama mnaipenda Tanzania kila mtu akazane na kusimamia huo mfumo to the best of ability (kwa uwezo wake). Mzingatie mafunzo mnayopata, mzingatie sheria zote, tunaelewana? Nawasihi sana,” alisema.

Waziri Mpango amebainisha kuwa taifa limechelewa, hivyo lazima maji yapatikane kwa ajili ya kinamama, elimu ya watoto na lazima kujenga misingi imara ya uchumi.

“Tutaweza kama tutaweza kukusanya ipasavyo na kudhibiti mianya ya uvujaji mapato. Bahati nzuri zamani tulikuwa tunatumia watu kutengeneza mifumo ya kielektroniki lakini siyo huu,” alisema.

Waziri Mpango amesema mfumo wa GePG umetengenezwa na watanzania kwa hiyo wale waliokuwa wanakula kula walipwe kwa kutengeneza mifumo mibaya na wakicheleweshewa malipo kwa siku moja, wanaharibu mifumo.

“Tunawataka wale wanaotengeneza mifumo wahakikishe wanatengeneza mifumo, tambueni hakuna atakayejenga nchi zaidi ya watanzania wenyewe”. Amesema.

Aliwataka kuendelea kuwa wazalendo kwa ajili ya mama Tanzania na wasiwe sehemu ya uharibifu wa hiyo mifumo.

“Kila mmoja hapa wizarani huwa nawaambia unapopewa jukumu la kuwatumikia watanzania tambua kuna watu milioni 58 kwenye mabega yako na wengi wao ni masikini.

“Utumwa sasa mwisho lazima tutembee kifua mbele. mzingatie mafunzo haya kwenye kazi zenu ili tujidai sasa ni taifa huru linalojiendesha lenyewe,” alisema huku akisisitiza kuwa anatamani katika bajeti ijayo, Tanzania ijitegemee bila kukopa.

“Mungu atakaponipa nafasi nisimame nitamke kuanzia sasa serikali yetu itajitegemea tutatafuta mikopo labda ya kibinadamu kama matetemeko na mafuriko, hiyo ndiyo tutaenda kutafuta nje lakini vinginevyo tufanye wenyewe na tunaweza”. Amesisitiza Waziri Mpango.

Tags: biasharaDk. Philip MpangoelimuGePGmapatomikoposheriauchumi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mchakato Bima ya Mazao waiva

Serikali yaendelea kununua korosho

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In