• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

ATCL kuruka nje

Patricia Richard by Patricia Richard
August 27, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Shirika la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari zake za nje kuanzia kesho ikiwa ni katika kutekeleza azma yake ya kulitambulisha shirika hilo kimataifa, sambamba na kutangaza fursa za kiuchumi, uwekezaji, na utaliii zinazopatikana nchini.

kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Ladislaus Matindi, shirika hilo linatarajia kuanza safari zake wiki ijayo katika nchi saba ikiwemo Afrika Kusini, huku safari za Bujumbura na Entebbe zikitarajiwa kuanza kesho hadi Agosti 30.

ADVERTISEMENT

Soma Pia ATCL kutua Entebbe,Bujumbura

Akielezea ratiba ya safari hizo Matindi amesema kuwa safari za kwenda Entebbe zitakuwa Jumatatu, Jumatano, Ijumaa na Jumapili na zitaanzai Dar es salaam, Kilimanjaro na Arusha, huku safari za Bujumbura zikifanyika siku za Jumanne, Alhamisi na Jumapili kutokea Dar es salaam na kupitia Kigoma, pamoja na zile za nje ya bara la Afrika ambazo ni Mumbai (India), Bangkok (Thailand), Guangzhou (China) kupitia Dar es salaam ambazo ratiba zake hazijatajwa rasmi.

Soma Pia ATCL kuimarika kufikia 2023

“Tutaendelea kupanua wigo wa huduma za nje ya Afrika ili kuibua fursa za uwekezaji, biashara na utalii zinazotokana na kuanza kwa huduma za safari hizi za ndege katika nchi hizi za Afrika Mashariki”. Ameeleza Matindi.

Jitihada mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa na serikali katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais John Magufuli kuboresha huduma za ATCL kupitia ununuzi wa ndege za shirika hilo ambapo mpaka sasa ndege nne mpya zimeshanunuliwa na serikali na kuletwa nchini, ikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner ambayo ni ndege kubwa zaidi kununuliwa katika historia ya Tanzania ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 262.

 

Tags: AngaATCL TanzaniabiasharaTanzaniausafiri
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mwenyekiti wa CTI, Dk. Samuel Nyantahe

CTI yataka sera ya sekta binafsi kukamilika

Discussion about this post

Habari Mpya

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

February 8, 2023

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

by Pesatu Reporter
February 8, 2023
0

Sio lazima uingie darasani na upate elimu katika mfumo rasmi ndipo uweze kufanikiwa katika maisha. Ndivyo wanavyoweza kusema kikundi cha...

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In