• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

ATCL kuruka nje

Patricia Richard by Patricia Richard
August 27, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Shirika la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari zake za nje kuanzia kesho ikiwa ni katika kutekeleza azma yake ya kulitambulisha shirika hilo kimataifa, sambamba na kutangaza fursa za kiuchumi, uwekezaji, na utaliii zinazopatikana nchini.

kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Ladislaus Matindi, shirika hilo linatarajia kuanza safari zake wiki ijayo katika nchi saba ikiwemo Afrika Kusini, huku safari za Bujumbura na Entebbe zikitarajiwa kuanza kesho hadi Agosti 30.

Soma Pia ATCL kutua Entebbe,Bujumbura

Akielezea ratiba ya safari hizo Matindi amesema kuwa safari za kwenda Entebbe zitakuwa Jumatatu, Jumatano, Ijumaa na Jumapili na zitaanzai Dar es salaam, Kilimanjaro na Arusha, huku safari za Bujumbura zikifanyika siku za Jumanne, Alhamisi na Jumapili kutokea Dar es salaam na kupitia Kigoma, pamoja na zile za nje ya bara la Afrika ambazo ni Mumbai (India), Bangkok (Thailand), Guangzhou (China) kupitia Dar es salaam ambazo ratiba zake hazijatajwa rasmi.

Soma Pia ATCL kuimarika kufikia 2023

“Tutaendelea kupanua wigo wa huduma za nje ya Afrika ili kuibua fursa za uwekezaji, biashara na utalii zinazotokana na kuanza kwa huduma za safari hizi za ndege katika nchi hizi za Afrika Mashariki”. Ameeleza Matindi.

ADVERTISEMENT

Jitihada mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa na serikali katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais John Magufuli kuboresha huduma za ATCL kupitia ununuzi wa ndege za shirika hilo ambapo mpaka sasa ndege nne mpya zimeshanunuliwa na serikali na kuletwa nchini, ikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner ambayo ni ndege kubwa zaidi kununuliwa katika historia ya Tanzania ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 262.

 

Tags: AngaATCL TanzaniabiasharaTanzaniausafiri
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mwenyekiti wa CTI, Dk. Samuel Nyantahe

CTI yataka sera ya sekta binafsi kukamilika

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In