• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, June 27, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Baada ya kupata mkopo, epuka haya

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Watu wengi wanahitaji mikopo ili kujiendeleza katika shughuli zao mbalimbali za maendeleo. Kama wewe ni mfanyabiashara mdogo bila shaka unatamani kupata mkopo ili kuongeza mtaji wako ambao utapelekea ubora zaidi katika bidhaa au huduma inayotolewa. Lakini ikitokea unapata mikopo hii unaitumiaje? Matumizi yako ya fedha hizi yanakuhakikishia upatikanaji wa fedha zaidi? Ni vitu gani hutakiwi kufanya pindi unapopata mkopo? Makala hii inalenga kuelezea machache ambayo hayashauriwi kufanywa pale unapofanikiwa kupata mkopo.

Kwanza kabisa usikope ili kuanza biashara. Hili ni kosa kubwa ambalo watu wengi hufanya. Hutakiwi kuanza biashara na fedha ya mkopo kwani huna uhakika wowote kama biashara yako itarudisha faida katika kipindi cha mwanzo. Ni vizuri kupambana mpaka unzishe biashara yako, isimame na kuonyesha matumaini kidogo hapo ndipo unaweza kuhangaikia masuala ya mkopo ili ukusaidie kuboresha huduma zako. Wengi ambao wanaanzisha biashara kwa mikopo hawafanikiwi.

ADVERTISEMENT

Usichukue mkopo ili kufanya matumizi binafsi. Watu wengi huona muda waliopewa na taasisi za kifedha ili kurejesha mikopo ni mrefu hivyo hujisahau na kutumia fedha hizo katika matumizi binafsi ambalo hayana faida kiuchumi. Fedha za mkopo zinatakiwa kuwekezwa pale ambapo unaona kuna muelekeo wa fedha hizo kurejeshwa au zitumike katika shughuli za kiuchumi ambazo zinamuhakikishia mkopaji kipato zaidi. Kutumia fedha za mikopo katika matumizi binafsi sio busara kwani hutakuwa umeziweka katika shughuli yoyote ya kimaendeleo.

Pia wakati unafikiria kuomba mkopo ni vizuri kuchukua mkopo ambao una uhakika utaweza kuurejesha ndani ya muda uliopangwa. Usiombe mkopo mkubwa ambao utakupa matatizo wakati wa kurejesha. Ni vizuri kuchukua mkopo ambao upo ndani ya uwezo wako ili usijiweke katika hali ya kupoteza biashara yako au hata mali zako binafsi pale utakaposhindwa kuurudisha. Unatakiwa kukopa fedha ambazo zipo ndani ya uwezo wako kuzirudisha hata kama mipango yako haitaenda kama ulivyotarajia.

Hakikisha unatumia fedha za mkopo kama ulivyopangilia. Kabla ya kuomba mkopo ni vizuri kuandaa mpango wako wa biashara na kuandika matarajio yako yote ili iwe rahisi wakati ukishapata mkopo. Ni vizuri kujiwekea malengo na kuwa na mikakati ya jinsi ya kutumia mkopo vizuri ili ufaidike nao na pia ufanye marejesho kwa wakati, hali ambayo itafanya taasisi husika kukuamini na kujenga mahusiano ya muda mrefu.

 

Tags: biasharafedhamfanyabiasharamikopo
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Soko la ajira nchini liwapatie fursa zaidi wanawake

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In