• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Machinga warudi Karume: Rais Samia

Serikali yaruhusu wafanyabiashara kurejea karume kwa mpango mzuri

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 28, 2022
in BIASHARA, BIASHARA NDOGO NDOGO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameruhusu wafanyabiashara wa Soko la Karume kurejea na kuendelea na biashara kwa kuwekewa mpango mzuri.

Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara na wafanyabiashara hao baada ya kupokea taarifa ya ripoti iliyoundwa kuchunguza chanzo cha moto uliotokea sokoni hapo usiku wa kuamkia January 16, 2022,  Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amesema Rais Samia ameelekeza pia uwepo utaratibu mzuri wa kuzuia majanga.

Amesema hakuna mfanyabiashara atakaedhulumiwa eneo lake na watajenga vibanda kwa gharama zao wenyewe.

Kuhusu ripoti ya chanzo cha moto, RC Makalla amesema kamati imebaini moto huo ulitokana na mshumaa uliowashwa kwenye kibanda walichokuwa wanajihifadhi watumiaji wa dawa za kulevya “mateja”.

Aidha, RC Makalla amesema baada ya kupokea ripoti hiyo ataikabidhi kwenye mamlaka za juu kwa ajili ya utekelezaji wa maoni na mapendekezo yote ya kamati.

Miongoni mwa maoni na mapendekezo ya kamati hiyo ni pamoja ujenzi wa soko jipya linaloendana na hali ya sasa.

ADVERTISEMENT

Uwepo wa mfumo mzuri wa kuzuia moto, barabara za kuingia na kutoka, ujenzi wa majengo ya muda mfupi, na kila mfanyabiashara kuwa na bima.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Eng. Justin Lukaza amesema hasara iliyotokana na kuungua hilo ni zaidi ya Shilingi bilioni 7.2 na idadi ya wafanyabiashara waliokumbwa na janga hilo ni takribani 3,090.

Wafanyabiashara wamepongeza uamuzi huo na kuishukuru serikali.

Tags: biasharaDar es salaamMachingaTanzaniauchumi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Sababu Tanzania kuwa na nusu ya simba duniani

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In