• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kampeni ya Tuzo Points yanoga

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
December 28, 2018
in BIASHARA
0
Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania, Bi. Devotha Majura akitoa elimu kwa wakazi wa Mbagala Charambe kuhusu pointi za Tuzo katika kampeni ya Tuzo Points 'Baki Mule Mule Utunzwe na Tuzo Points' iliyofanyika eneo la Mbagala Charambe na Chamazi jijini Dar es Salaam.  Tuzo Points ni programu ambayo inawazawadia wateja wa Vodacom pointi pale wanaponunua salio au kufanya miamala kupitia M-Pesa. Pointi hizo zinaweza kubadilishwa kuwa fedha, salio au bando, katika msimu huu wa sikukuu Vodacom Tanzania inawazawadia wateja wao Point za Tuzo zenye thamani ya shilling Bilioni moja.

Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania, Bi. Devotha Majura akitoa elimu kwa wakazi wa Mbagala Charambe kuhusu pointi za Tuzo katika kampeni ya Tuzo Points 'Baki Mule Mule Utunzwe na Tuzo Points' iliyofanyika eneo la Mbagala Charambe na Chamazi jijini Dar es Salaam. Tuzo Points ni programu ambayo inawazawadia wateja wa Vodacom pointi pale wanaponunua salio au kufanya miamala kupitia M-Pesa. Pointi hizo zinaweza kubadilishwa kuwa fedha, salio au bando, katika msimu huu wa sikukuu Vodacom Tanzania inawazawadia wateja wao Point za Tuzo zenye thamani ya shilling Bilioni moja.

Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Kampuni ya mawasiliano kupitia simu za mkononi, Vodacom Tanzania imewatembelea wakazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam na kutoa elimu ya kampeni ya tuzo points ‘ Baki Mule Mule Utunzwe na Tuzo Points’.

Vodacom Tanzania pia inawazawadia wateja wao Point za Tuzo zenye thamani ya shilling Bilioni moja katika msimu huu wa sikukuu.

Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania, Bi. Stella Richard akizungumza na kumuelimisha mfanyabiashara jinsi ya kuzipata na kuzitumia pointi za Tuzo, hapo jana katika kampeni ya Tuzo points ‘Baki Mule Mule Utunzwe na Tuzo Points’ iliyofanyika eneo la Mbagala Charambe na Chamazi jijini Dar es Salaam. Katika msimu huu wa sikukuu Vodacom Tanzania inawazawadia wateja wao Point za Tuzo zenye thamani ya shilling Bilioni moja.
Kiongozi wa Timu ya watoa huduma wa Vodacom Tanzania, Nashon Leonard akizungumza na watoa huduma wa Vodacom Tanzania mara baada ya kumaliza kutoa elimu ya kampeni ya Tuzo Points ‘Baki Mule Mule utunzwe na Tuzo Points’ iliyofanyika eneo la Mbagala Charambe na Chamazi jijini Dar es Salaam.
Kikundi cha burudani kinachofahamika kwa jina la Respect Crew wakitoa burudani kwa wakazi wa Mbagala wakati wa utoaji elimu wa kampeni ya Tuzo Points ‘Baki Mule Mule utunzwe na Tuzo Points’ jijini Dar es Salaam.
Tags: Hisham HendiTuzo PointsVodacom Tanzania
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari.

Hatujazuia Fastjet kuingiza ndege-TCAA

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In