• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

Wanaopandisha bei za bidhaa Zanzibar waonywa

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 6, 2023
in BIASHARA
0
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza nia ya kutaka kuwapa tenda Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) ambalo ni Shirika la Kiserikali kwa kuwapa fedha ili Serikali ya Zanzibar iingize bidhaa sokoni.

Hii ni endapo wafanyabiashara wataendelea na uongezaji kiholela wa bei za bidhaa ikiwemo vyakula.

Rais Mwinyi ameeleza hayo wakati akihutubia waumini wa dini ya Kiislamu katika Msikiti wa Muembe Tanga Mkoa wa Mjini Unguja ambapo amesema ugumu wa kupatikana kwa mchele, unga na mafuta umesababishwa na baadhi ya wafanyabishara kuhodhi bidhaa Bandarini ili kuwe na uhaba.”

ADVERTISEMENT

Nimewaambia wafanyabiashara sio vizuri Serikali ifanye biashara lakini mkitufikisha sehemu ambayo lazima tufanye biashara nitawataka Serikali itoe fedha tuwape ZSTC walete wao chakula wauze hapa kwasababu hatuwezi kuvumilia watu kuongeza bei kwa makusudi kwa kupenda tu kuongeza bei na nitawaambia ZSTC mwezi wa Ramadhani walete mchele kwa wingi.”

Amesema amebaini mchezo huo unaofanywa na wafanyabiashara huku akiwahakikishia wananchi kwamba hakutakuwa na uhaba wa chakula hata kwenye Mfungo wa Ramadhani.

“Sasa hivi pale Bandarini tayari kuna meli zinasubiri kushusha zaidi ya tani Elfu kumi za mchele hakuna shaka ya uhaba hata kidogo, serikali yenu itaendelea kukabiliana na changamoto hii ili tuondoe ugumu wa maisha kwa kupanda kwa bei za bidhaa katika maeneo mbalimbali,” ameeleza Rais Mwinyi.

Tags: biashararais mwinyiuchumizanzibar
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In