• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, September 22, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Stanbic yazindua soko la fedha mtandaoni

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
November 13, 2018
in BENKI
0
Meneja wa masoko ya fedha wa Bot Bwana Lameck Kakulu akipeana mkono na mkuu wa idara ya fedha za kigeni wa benki ya stanbic Bw.Erick Mushi wakati wa uzinduzi wa huduma ya eMarket Trader ya benki ya stanbic jijini Dar es salaam.

Meneja wa masoko ya fedha wa Bot Bwana Lameck Kakulu akipeana mkono na mkuu wa idara ya fedha za kigeni wa benki ya stanbic Bw.Erick Mushi wakati wa uzinduzi wa huduma ya eMarket Trader ya benki ya stanbic jijini Dar es salaam.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya stanbic imezindua huduma ya soko la fedha za kigeni utakaoruhusu mauzo na manunuzi ya fedha za kigeni mtandaoni uitwao ‘eMarket Trader’ ambao utawapatia wateja huduma mahsusi ya kubadilisha fedha za kigeni ikiwemo kujua taarifa za thamani ya fedha za kigeni na mwendo wa soko kwa wakati husika.

 

ADVERTISEMENT

Huduma hiyo ambayo inajumuisha wateja binafsi na makampuni ni ya kwanza nchini Tanzania na wateja wanaweza kubadilisha fedha zao kwa urahisi kwa kuwapatia aina tofauti tofauti zaidi ya 64 za fedha za kigeni zilizopo sokoni katika muda husika.

 

Hafla hiyo ya uzinduzi ilihudhuliwa na wageni mbalimbali akiwemo meneja masoko na fedha kutoka Benki kuu ya Tanzania (Bot) Bwana Lameck Kakulu ambaye alisema “Tunafurahi kwa benki ya stanbic ambao ni moja ya wadau muhimu katika sekta ya fedha nchini wakkijikita zaidi katika teknolojia,kupitia uboreshaji huu wenye vipengele muhimu vya kidigitali vinavyomuwezesha mteja kupata taarifa za soko katika muda halisi na upatikanaji wa tafiti za benki ya standard benki”.

 

Pia mkuu wa kitengo cha fedha za kigeni benki ya stanbic Bw Erick mushi alisema kuwa haina haja ya kupiga simu kitengo cha ubadilishaji fedha kwa ajili ya kununua au kuuza fedha zao bali kupitia eMarket Trader wateja wanaweza kupata taarifa zote na kubadilishha fedha kwa wakati.

 

Biashara ya huduma za kifedha kwa njia ya mtandao ni biashara inayokua kwa kasi nchini ambapo matumizi ya teknolojia yamekua ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha huduma hizi zinakua rahisi na zinafika kwa wananchi.

Tags: benkifedha.hudumaMtandaoStanbicTeknolojiawateja
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Wachimbaji wachekelea umeme

Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini yavunjwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In