• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Stanbic yazindua soko la fedha mtandaoni

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
November 13, 2018
in BENKI
0
Meneja wa masoko ya fedha wa Bot Bwana Lameck Kakulu akipeana mkono na mkuu wa idara ya fedha za kigeni wa benki ya stanbic Bw.Erick Mushi wakati wa uzinduzi wa huduma ya eMarket Trader ya benki ya stanbic jijini Dar es salaam.

Meneja wa masoko ya fedha wa Bot Bwana Lameck Kakulu akipeana mkono na mkuu wa idara ya fedha za kigeni wa benki ya stanbic Bw.Erick Mushi wakati wa uzinduzi wa huduma ya eMarket Trader ya benki ya stanbic jijini Dar es salaam.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya stanbic imezindua huduma ya soko la fedha za kigeni utakaoruhusu mauzo na manunuzi ya fedha za kigeni mtandaoni uitwao ‘eMarket Trader’ ambao utawapatia wateja huduma mahsusi ya kubadilisha fedha za kigeni ikiwemo kujua taarifa za thamani ya fedha za kigeni na mwendo wa soko kwa wakati husika.

 

Huduma hiyo ambayo inajumuisha wateja binafsi na makampuni ni ya kwanza nchini Tanzania na wateja wanaweza kubadilisha fedha zao kwa urahisi kwa kuwapatia aina tofauti tofauti zaidi ya 64 za fedha za kigeni zilizopo sokoni katika muda husika.

 

Hafla hiyo ya uzinduzi ilihudhuliwa na wageni mbalimbali akiwemo meneja masoko na fedha kutoka Benki kuu ya Tanzania (Bot) Bwana Lameck Kakulu ambaye alisema “Tunafurahi kwa benki ya stanbic ambao ni moja ya wadau muhimu katika sekta ya fedha nchini wakkijikita zaidi katika teknolojia,kupitia uboreshaji huu wenye vipengele muhimu vya kidigitali vinavyomuwezesha mteja kupata taarifa za soko katika muda halisi na upatikanaji wa tafiti za benki ya standard benki”.

 

ADVERTISEMENT

Pia mkuu wa kitengo cha fedha za kigeni benki ya stanbic Bw Erick mushi alisema kuwa haina haja ya kupiga simu kitengo cha ubadilishaji fedha kwa ajili ya kununua au kuuza fedha zao bali kupitia eMarket Trader wateja wanaweza kupata taarifa zote na kubadilishha fedha kwa wakati.

 

Biashara ya huduma za kifedha kwa njia ya mtandao ni biashara inayokua kwa kasi nchini ambapo matumizi ya teknolojia yamekua ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha huduma hizi zinakua rahisi na zinafika kwa wananchi.

Tags: benkifedha.hudumaMtandaoStanbicTeknolojiawateja
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Wachimbaji wachekelea umeme

Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini yavunjwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In