• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Sukari ya nje yakosa soko

Patricia Richard by Patricia Richard
July 13, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Tani za sukari zipatazo 80000 kati ya 130000 zilizoagizwa na wazalishaji hapa nchini zimekosa soko kutokana na wingi wa sukari inayoingizwa kwa magendo. Sukari hiyo iliagizwa kati ya Machi na Juni mwaka huu kwa lengo la kuziba pengo la mahitaji ya bidhaa hiyo wakati viwanda vya ndani vinaposimamisha uzalishaji.

Mkurugenzi wa Chama cha Wazalishaji wa sukari nchini, Seif Ali Seif ameshauri serikali kuongeza mapambano dhidi ya watu wanaoingiza sukari nchini kinyume cha utaratibu. Seif alisema katika uagizaji wa sukari kuna makundi mawili, wakiwemo wale wanaoagiza kinyume na sheria na wanaoagiza za viwandani na kuziuza kwa matumizi ya nyumbani.

“Sukari ya viwandani ina madhara kwa matumizi ya nyumbani, tukiruhusu sukari hii ikaingia nchini kwetu itasababisha madhara makubwa kwa wananchi. Wananchi watoe ushirikiano kwa  kutoa taarifa waonapo sukari hiyo sokoni” amesema Seif.

ADVERTISEMENT

Mkurugenzi huyo amewataka wananchi wanunue vitu vyenye ubora vinavyozalishwa nchini ili kuepuka madhara ya matumizi ya sukari inayoingizwa kimagendo. Ameongeza kwa kusema kuwa, hali ya udhibiti wa sukari kwa sasa inaridhisha baada ya serikali kuingilia kati na kuwapa jukumu wazalishaji kuagiza sukari.

Hata hivyo, amedai kuwa bado wanahitaji jitihada ziongezwe zaidi kwa sababu bado kuna sukari nyingi mitaani.

“Kuna wengine wanaingiza sukari nchini na kuzifunga kwa kutumia vifungashio vinavyofanana na vile vya wazalishaji wa ndani. Tumetembelea baadhi ya maduka na kukuta sukari hizo zinauzwa” Alisema Seif.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa masoko na uendeshaji wa kiwanda cha sukari cha Mtibwa, Fulgence Bube amesema sukari ya viwandani inapouzwa kwa matumizi ya nyumbani siyo tu ina madhara kwa binadamu, bali pia serikali inakosa mapato. Sukari ya viwandani hutumika kwa ajili mbalimbali ikiwemo kutengeneza vyakula, vinywaji na dawa.

Tags: Mtibwasokosukariuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Kiwanda matatani kwa kutofuata sheria

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In