• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, January 15, 2021
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Uwekezaji mifuko ya UTT AMIS waongezeka

Wawekezaji waongezeka kwa asilimia 9.4 ukilinganisha na asilimia 3.7 mwaka jana

Ndeni by Ndeni
December 1, 2020
in BIASHARA, UWEKEZAJI
0
Mwenyekiti wa Bodi ya UTT AMIS, Casmir Kyuki akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya UTT AMIS, Casmir Kyuki akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka jijini Dar es Salaam.

Share on FacebookShare on Twitter

UKUBWA wa Mifuko ya Uwekezaji katika kampuni ya UTT AMIS umeongezeka kutoka Sh bilioni 290.7 Juni 30, mwaka jana hadi kufikia Sh bilioni 412.8, Juni, mwaka huu.

Mwenyekiti wa Bodi ya UTT AMIS, Casmir Kyuki aliwaeleza wanachama wa mifuko wakati akiwasilisha taarifa yake kwenye Mkutano Mkuu wa mwaka jijini Dar es Salaam.

Kyuki alisema ongezeko hilo la Sh bilioni 122.1 ni sawa na asilimia 42 ukilinganisha na pungufu ya Sh bilioni 4.4 sawa na asilimia hasi 1.5 kwa mwaka uliopita.

ADVERTISEMENT

Alisema “Kiwango hiki cha ukuaji wa mfuko ndani ya mwaka mmoja kimefikiwa kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa mifuko ya uwekezaji wa pamoja na kampuni ya uwekezaji ya UTT AMIS pamoja na taasisi zilizotangulia.

Ukuaji wa mifuko pia unadhihirishwa na ongezeko la idadi ya wawekezaji 13,671 sawa na asilimia 9.4 ukilinganisha na ongezeko la wawekezaji 5,169 sawa na asilimia 3.7 mwaka uliopita”.

Alifafanua kuwa mwaka huu wa fedha pato la wawekezaji wa mifuko ni zuri ambapo kwa upande wa Mfuko wa Umoja pato la wawekezaji ni asilimia 10.3.

Kyuki alisema pamoja na changamoto nyingi zilizojitokeza ndani ya mwaka wa fedha uliopita bado mfuko huo umeendelea kufanya vizuri ikilinganisha na mifuko mingine ya uwekezaji.

“Pamoja na changamoto za ugonjwa wa Corona na mabadiliko ya sera za uwekezaji katika nchi zinazoshirikiana na Tanzania, utendaji wa soko bado umeendelea kuwa wa kuvutia na kuridhisha.

Mazingira imara ya udhibiti na jinsi serikali ilivyozifanyia kazi changamoto hizi ndiyo msingi wa kuwa na madhara madogo kwenye utendaji wa soko,” alieleza Kyuki.

Alisema miamala ya uwekezaji kwa njia ya mitandao imekuwa ikiongezeka na kufikia wastani wa Sh milioni 300 kwa mwezi, baada ya huduma hiyo kuzinduliwa Novemba mwaka jana.

“Hili ni ongezeko zuri. Hata hivyo kampuni itaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu huduma kwa njia ya mitandao ya simu kwa kuwa tunaamini kuwa bado kuna fursa ya kuongeza miamala zaidi ya hapo tulipofikia,” alisema Kyuki.

Alieleza matarajio ya mwaka wa fedha 2020/2021 kuwa ni kufungua vituo vya huduma kwa wawekezaji katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Mbeya pamoja na Zanzibar ambapo mpaka mwisho wa mwaka watakuwa katika mikoa sita ukijumlisha Dar es Salaam na Dodoma.

Ndeni

Ndeni

Next Post

Benki ya Stanbic yapewa tuzo

Discussion about this post

Habari Mpya

Tiketi za mabasi sasa kwa njia ya mtandao

January 12, 2021

Watanzania wengi hawajui bima ya maisha 

January 12, 2021
Wajasiriamali wameanza mnada leo katika Stendi ya daladala Mawasiliano Simu 2000. Picha |Mtanzania Digital

Sh500, mjasiriamali kupata eneo kufanya mnada kituo cha daladala Mawasiliano

January 8, 2021

Bei ya petroli yashuka, dizeli yapanda

January 6, 2021

NMB yatoa zawadi zenye dhamani ya milioni 28

January 6, 2021

Sekta ya mifugo na uvuvi inufaishe wananchi: Waziri Ndaki

December 31, 2020
No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2021 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Create New Account!

Fill the forms below to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In