• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Iringa yajikita kwenye viwanda

Patricia Richard by Patricia Richard
August 18, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema serikali mkoani humo imejikita katika kuimarisha uchumi wa viwanda, ikiwa ni moja ya azma kuu inayohitaji kutekelezwa katika serikali ya awamu ya tano,kwa kuhakikisha inaandaa mazingira rafiki kwa ajili ya wawekezaji ikiwa ni pamoja na ujenzi wa miundombinu bora itakayowavutia wawekezaji kuja kuwekeza mkoani humo.

Hapi amesema hayo alipokutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda vikubwa na vidogo mkoani humo  ikiwa ni mara ya kwanza kufanya hivyo tangu uteuzi uliofanyika hivi karibuni na Rais Magufuli.

Soma Pia FAO kuwawezesha wakulima

Hapi amesema licha ya serikali kufanya juhudi kuboresha mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara ni vyema pia wafanyabiashara hao wakatambua kuwa wana wajibu wa kulipa kodi kwa wakati, kuwapa wafanyakazi mkataba wa kazi pamoja na kuwajengea makazi watumishi wao. Hapi amewataka pia wafanyabiashara mkoani humo kujenga viwanda vikubwa vya kusaga nafaka kutokana na mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa uzalishaji wa zao la mahindi, na kusisitiza kuwa fursa hiyo itasaidia kukuza soko la zao ambapo badala ya kusafirisha mahindi mikoa na nchi jirani wataanza kuja kununua unga.

Aidha ameitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweka miundombinu karibu na mazingira ambapo uwekezaji wa viwanda utafanyika kwa lengo la kuwavutia wawekezaji.

Soma Pia Serikali yataka wawekezaji kufuata sheria

Akizungumzia kuhusu hali ya mkoa huo, Ally Hapi amesema kuwa asilimia 75 ya ardhi ya mkoa huo inafaa kwa ajili ya kilimo na asilimia kubwa ya malighafi za viwanda hivyo inatoka  katika kilimo, hivyo ameshauri wakulima na wawekezaji kuendelea kuongeza nguvu katika uzalishaji ili kuongeza pato la taifa sambamba na kuliingizia taifa fedha za kigeni.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah ameiomba Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Shirika la Maendeleo ya viwanda Vidogo (SIDO) kushirikiana na wenye viwanda kujua mahitaji yao ili kuzalisha wataalamu watakaoendana na uhitaji wa huduma zilizopo.

 

 

 

Tags: ally hapibiasharaIringamiundombinuSidoTRAuchumiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Uzalishaji wa viungo watakiwa kuongezeka

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In