• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Iringa yajikita kwenye viwanda

Patricia Richard by Patricia Richard
August 18, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema serikali mkoani humo imejikita katika kuimarisha uchumi wa viwanda, ikiwa ni moja ya azma kuu inayohitaji kutekelezwa katika serikali ya awamu ya tano,kwa kuhakikisha inaandaa mazingira rafiki kwa ajili ya wawekezaji ikiwa ni pamoja na ujenzi wa miundombinu bora itakayowavutia wawekezaji kuja kuwekeza mkoani humo.

Hapi amesema hayo alipokutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda vikubwa na vidogo mkoani humo  ikiwa ni mara ya kwanza kufanya hivyo tangu uteuzi uliofanyika hivi karibuni na Rais Magufuli.

Soma Pia FAO kuwawezesha wakulima

Hapi amesema licha ya serikali kufanya juhudi kuboresha mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara ni vyema pia wafanyabiashara hao wakatambua kuwa wana wajibu wa kulipa kodi kwa wakati, kuwapa wafanyakazi mkataba wa kazi pamoja na kuwajengea makazi watumishi wao. Hapi amewataka pia wafanyabiashara mkoani humo kujenga viwanda vikubwa vya kusaga nafaka kutokana na mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa uzalishaji wa zao la mahindi, na kusisitiza kuwa fursa hiyo itasaidia kukuza soko la zao ambapo badala ya kusafirisha mahindi mikoa na nchi jirani wataanza kuja kununua unga.

Aidha ameitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweka miundombinu karibu na mazingira ambapo uwekezaji wa viwanda utafanyika kwa lengo la kuwavutia wawekezaji.

ADVERTISEMENT

Soma Pia Serikali yataka wawekezaji kufuata sheria

Akizungumzia kuhusu hali ya mkoa huo, Ally Hapi amesema kuwa asilimia 75 ya ardhi ya mkoa huo inafaa kwa ajili ya kilimo na asilimia kubwa ya malighafi za viwanda hivyo inatoka  katika kilimo, hivyo ameshauri wakulima na wawekezaji kuendelea kuongeza nguvu katika uzalishaji ili kuongeza pato la taifa sambamba na kuliingizia taifa fedha za kigeni.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah ameiomba Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Shirika la Maendeleo ya viwanda Vidogo (SIDO) kushirikiana na wenye viwanda kujua mahitaji yao ili kuzalisha wataalamu watakaoendana na uhitaji wa huduma zilizopo.

 

 

 

Tags: ally hapibiasharaIringamiundombinuSidoTRAuchumiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Uzalishaji wa viungo watakiwa kuongezeka

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In