• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kitengo cha uwekezaji kuanzishwa Dar es salaam

Patricia Richard by Patricia Richard
October 4, 2018
in UWEKEZAJI
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa TPSF Godfrey Simbeye (kushoto).

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa TPSF Godfrey Simbeye (kushoto).

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameeleza kuhusu mpango wa kuanzisha kitengo cha uwekezaji (One Stop Center) ili kurahisisha shughuli za uwekezaji na kuepuka changamoto zinazopelekea baadhi ya wawekezaji kukata tamaa. Makonda amesema hayo baada ya kutembelea ofisi ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na kufanya mazungumzo kuhusu namna mbadala ya kuweka mazingira bora ya kibiashara ili kuondoa kero zinazowakabili wawekezaji na wafanyabiashara jijini Dar es salaam.

Makonda amedai kuwa kitengo hicho kitahusisha watendaji kutoka taasisi za Kituo cha Uwekezaji (TIC), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Idara ya Uhamiaji na wadau mbalimbali wanaohusika na biashara.

ADVERTISEMENT

“Naamini ushiriki wa TPSF katika ziara ya Rais Dk. John Magufuli jijini Dar es salaam hivi karibuni itakuwa fursa kubwa kwa sekta zote ikiwemo biashara, uchumi, afya, elimu, miundombinu na maji hivyo niwahimize watu wote kuitumia vizuri ziara hiyo ili kufikia ndoto ya Dar es salaam kuwa jiji la kibiashara”. Amefafanua Mkuu huyo wa mkoa.

Naye Mkurugenzi wa TPSF, Godfrey Simbeye amesema taasisi hiyo ipo tayari kufanya kazi  na kutoa ushirikiano kwa Mkuu wa mkoa, katika harakati mbalimbali za kuboresha jiji la Dar es salaam.

Tags: biasharaGodfrey SimbeyeOne Stop CenterPaul MakondaTICTPSF
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mjasiriamali na harakati zake (Video)

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In