• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, November 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Korea Kusini yaahidi kuwekeza zaidi Tanzania

Biteko, Waziri wa Biashara Korea Kusini wafanya mazungumzo

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
November 20, 2023
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara kutoka nchini Korea Kusini Ahn Dukgeun ambapo  ameeleza kuwa nchi hizo zitaendelea kudumisha ushirikiano uliopo katika nyanja za kiuchumi na kijamii.

Katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dodoma, Dkt. Biteko alimuhakikishia Dukgeun ushirikiano kutoka Serikali ya Tanzania katika kukuza uwekezaji na Korea Kusini hapa nchini.

“Niwahakikishie ushirikiano na utayari wa Serikali ya Tanzania katika kuendelea kufungua milango kwa wawekezaji kutoka Korea Kusini muda wowote kwani tayari mahusiano ya nchi zetu mbili yana mizizi iliyokomaa” amesema Dkt. Biteko.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake Waziri Dukgeun amesema kuwa, Korea Kusini itaendelea kuhimiza wawekezaji wengi kuja kuwekeza Tanzania huku akieleza kuwa, moja ya vivutio vikubwa vya uwekezaji Tanzania ni amani na utulivu uliopo ambao unatoa nafasi kwa Wananchi na wawekezaji kuelekeza nguvu na muda wao katika shughuli za uzalishaji na kukuza uchumi.

“Tutaendelea kuhimiza wawekezaji zaidi kutoka Korea Kusini kuja kuwekeza Tanzania kwani mazingira ya uwekezaji hapa ni mazuri na hali ya utulivu na amani inavutia zaidi kuwekeza bila kuwa na mashaka,” ameeleza Waziri Dukgeun.

Katika kikao hicho, Waziri wa Biashara kutoka Korea Kusini aliambatana na Balozi wa Korea Kusini hapa nchini Kim Sunpyo, Makamu wa Rais wa Benki ya Exim Korea, Hon Soon-Young, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Umeme Korea Kusini, Shin Myung Jun na Wakurugenzi wengine kutoka Wizara ya Biashara Korea Kusini.

Tags: biasharakorea kusiniserikaliuwekezaji
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Kukosa uadilifu, uzalendo kwatajwa tatizo kubwa kuliko kukosa elimu

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In