• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

SERIKALI YAOMBWA KULIFANYA ZAO LA PILIPILI KUA LA KIBIASHARA

Ili liweze kupewa mkazo zaidi kulimwa kwa madai lina masoko makubwa ndani na nje ya nchi

Jensen Kato by Jensen Kato
June 15, 2020
in KILIMO BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuliingiza zao la pilipili kichaa kwenye mazao ya kimkakati, ili liweze kupewa mkazo zaidi kulimwa kwa madai lina masoko makubwa ndani na nje ya nchi.Na linasadikika lina uwezo mkubwa wa kufumbaza virusi vya Corona vinavyosababisha homa kali ya mapafu.

Akizungumza jana na mwandishi wa habari hii akiwa shambani kwake, mkulima wa kilimo cha umwagiliaji mhandisi Hassan Tati, amesema pia pilipili kichaa ikichanganywa na mazao mbalimbali ikiwemo tangawizi, inatibu saratani ingali changa.

Amesisitiza mhandisi Tati ambaye anajishughulisha na kazi za ukandarasi,kuwa kilimo cha zao hilo, ni rahisi mno na halina changamoto nyingi, ikilinganishwa na mazao mengi ikiwemo nyanya.

“Mche wa pilipili kichaa unazaa vizuri kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo.Baada ya miaka hiyo,unapanda mingine. Kilimo hiki kinaruhusu kupanda miche mingine kama papai na ndizi. Ni kilimo mseto, pilipili kichaa ambazo si bora zikisangwa vizuri, ni dawa bora mno ya kuulia wadudu waharibifu shambani”,amesisitiza zaidi.

Mkulima Tati ametaja faida zingine zitokanazo na pilipili kichaa, kuwa inadaiwa inachanganywa katika maji ya washa washa na mabomu ya machozi yanayotumiwa na jeshi la polisi.

“Chakula cho chote nchini India, lazima kiwe na pili pili hii. Wanatumia kutengenezea dawa na vipodozi mbalimbali. Somalia na Ethiopia, nao vyakula vyao lazima viwe na pilipili tena iwe ya kutosha”,amesema.

ADVERTISEMENT

Katika hatua nyingine,mkulima huyo amesema kuwa uzuri wa kilimo cha zao la pilipili kichaa,lina wanunuzi ambao hutoa mbegu boora.Katika mbungu hizo,mkulima analipa sehemu ya gharama.

“Kiwango kinachosalia,atakimalizia mara atakapouza mazao yake.Wanunuzi hao wanatoa wataalamu wao kwa ajili ya kueleimisha kilimo bora cha pilipili kichaa.Wanasimia vizuri mwazo hadi mwisho.

Tati ametumia fursa hiyo kuishukuru serikali ya mkoa wa Singida pamoja na halamshauri zake,kwa kutoa wataalam wa kilimo kusimamia na kuwaelemisha wakulima wachache wa pilipili kichaa mkoani ha

Wakati huo huo,mkulima wa zao la pilipili kichaaa wilaya ya Ikungi,Yeremia Yohana amesema kwa vile ndio kwanza wanaanza kilimo hicho,itapendeza zaidi endapo maafisa kilimo na mifugo wilaya ya Ikungi na mkoa,wakawatembelea wakulima mara kwa mara kutoa ushauri na maelekezo. “Nitumie fursa hii kuwakumbusha wakazi wa wilaya ya Ikungi kwamba ugonjwa wa corona upo.Hivyo kila mmoja tuendelee kuchukua tahadhari kwa kujikinga na kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona.”,amesema Yohana.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

BENKI YA NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 48

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In