• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafanyabiashara wanaochezea vipimo waonywa

Patricia Richard by Patricia Richard
October 24, 2018
in BIASHARA
0
Afisa Elimu, Habari na Mawasiliano wa Wakala wa Vipimo (WMA), Paulus  Oluochi atoa elimu zaidi kwa mwananchi aliyetembelea banda hilo kuhusu umuhimu wa kuzingatia vipimo kwa wajasirimali wakati wa kufungasha na kuzalisha bidhaa mbalimbali.

Afisa Elimu, Habari na Mawasiliano wa Wakala wa Vipimo (WMA), Paulus Oluochi atoa elimu zaidi kwa mwananchi aliyetembelea banda hilo kuhusu umuhimu wa kuzingatia vipimo kwa wajasirimali wakati wa kufungasha na kuzalisha bidhaa mbalimbali.

Share on FacebookShare on Twitter

Ofisa Elimu, Habari na Mawasiliano kutoka Wakala wa Vipimo nchini (WMA) Paulus Oluochi ametoa onyo kwa wafanyabiashara wenye tabia ya kuchezea vipimo na kusisitiza kuwa, hatua kali zitachukuliwa dhidi yao kwa mujibu wa sheria. Katika maelezo yake, Ofisa huyo ameeleza kuwa, Sheria ya vipimo sura namba 340 na mapitio yake ya mwaka 2002 inasema kwa kosa la kwanza ya kuchezea vipimo faini sio chini ya Sh. 300,000 na zaidi ya Sh. 50 milioni au kifungo cha miaka mitatu au vyote kwa pamoja.

“Kosa la pili au kujirudia faini yake haipungui Sh. 500,000 na isiyozidi Sh. 100 milioni au kifungo kisichozidi miaka mitano au vyote kwa pamoja”. Amedai Oluochi.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo,Ofisa huyo kutoka WMA pia amewashauri wafanyabiashara kuendesha shughuli zao kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo ili kuepuka usumbufu wanapovinja sheria. Aidha, Oluocho ametoa wito kwa wajasiriamali kuzingatia vipimo katika bidhaa zao kama ambayo Sheria inaelekeza ili kushindana kikamikifu sokoni na kuwataka wajasiriamali kuacha tabia ya kukadiria ujazo wa bidhaa zao katika vifungashio.

“Unakuta bidhaa imeandikwa kilogramu mbili lakini kumbe imekadiriwa tu na kiasi hicho hakijafika katika ujazo huo, hali hii inachangia bidhaa hizo kushindwa kushindana na zile za wafanyabiashara wakubwa”. Amesema Oluochi.

Tags: Sheria ya vipimowajasiriamaliWMA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila.

AfDB yasaka fursa za uwekezaji Mbeya

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In