• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

ZINGATIA HAYA KILA UNAPOPANGA BEI YA BIDHAA ZAKO

Jensen Kato by Jensen Kato
June 15, 2020
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Upangaji wa bei ya bidhaa au huduma unaweza kuleta faida au hasara katika biashara. Hivyo ni muhimu kuangalia mambo mbalimbali na kutafakari kwa kina kabla hujafanya maamuzi kuhusu bei ya bidhaa/huduma yako.

Mambo ya kuzingatia:

Gharama

Hili ni jambo la kwanza kuzingatia ni gharama ulizotumia kuanzisha biashara nzima. Hakuna biashara ambayo inaweza kujiendeleza yenyewe kama gharama zinazidi mauzo. Njia rahisi ya kuweza kupanga bei ya bidhaa ni kuchukua gharama ulizotumia na kuongeza asilimia ya kawaida katika gharama hizo. Kwa kufanya hivyo utakuwa na uhakika wa faida ili mradi mauzo yawe yanafanyika. Faida inaweza isiwe kubwa sana lakini itakuwepo. Kwa mfano unauza magauni, umenunua magauni kwa Sh. 2000 hapo unaweza kuongeza Sh. 3000 na kuuza gauni kwa Sh. 5000.

Thamani

Siku zote mteja huwa tayari kulipia kitu ambacho anafikiri kina hadhi ya kuuzwa kwa bei husika. Ikiwa umeweka bei kubwa katika bidhaa ya kawaida basi tambua wateja hawatonunua bidhaa yako. Thamani ya bidhaa huwa katika akili ya mteja hivyo unatakiwa kufikiria je kama ungekuwa mteja ungenunua bidhaa hiyo kwa bei unayoweka? Kwa kujibu hilo itakuwa rahisi kuweka bei ambayo itawavuta wateja na kukuletea faida.

ADVERTISEMENT

Washindani

Ili kupata faida zaidi kupitia bei utakayoipanga unatakiwa kufikiria tofauti na washindani wako ili kupata wateja wengi zaidi. Sawa kuna bidhaa ambazo zina bei rasmi lakini hiyo isikurudishe nyuma kuwahamasisha wateja wengi kununua zaidi. Unaweza kuuza bidhaa zenye ubora zaidi, au unaweza kuweka biashara yako sehemu ambayo watu wengi hupita au huhitaji bidhaa hizo zaidi katika muda fulani.

ADVERTISEMENT

Hatari ya kuharibika

Hatari ya bidhaa kuharibika ni moja ya mambo ambayo unatakiwa kuzingatia ikiwa unapanga bei. Kuweka bei juu kwa vitu ambavyo vinaharibika kwa urahisi kutaleta hasara katika biashara yako. Ndio maana mfanyabiashara hushauriwa kupunguza bei kwa vitu ambavyo vinahitajika kwa muda mfupi. Mfano mapambo ya Christmas, vitu vinavyokaribia kuisha muda wa matumizi (expiry date) nk.

Vivutio

Faida ni muhimu katika biashara lakini ni muhimu zaidi kuweka bidhaa ambazo zinawavutia wateja hata kama hazina faida kubwa au faida kabisa. Kwa mfano kwa wateja wa bidhaa za rejareja ni muhimu kuwa na bidhaa kama vocha, ambazo ni muhimu kwa watu wengi na ikiwa mteja amepata vocha ni rahisi kuvutiwa na bidhaa nyingine.

Vilevile ni muhimu kumpa mteja machaguo tofauti kwa mfano badala ya kulipa milioni 2 kwa mwezi mteja anaweza kulipia milioni 1 kila baada ya wiki mbili. Hata kama ni kitu kile kile mteja ataona ni rahisi kwani watu wana majukumu mengi na urahisi wa malipo huvutia watu kutokana na kwamba wanakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi kwa muda mmoja.

Zingatia malengo yako ili kuweza kufanya maamuzi sahihi kuhusu bei ya bidhaa au huduma unayoiuza kwa wateja.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

BILIONI 2 ZATENGWA KWA AJILI YA MAJI MASHULENI

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In