• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

BILIONI 2 ZATENGWA KWA AJILI YA MAJI MASHULENI

WIZARA ya Maji katika mwaka wa fedha ujao itatenga Sh.Bilioni 2 kwa ajili ya kupeleka huduma ya maji kwenye mashule na vituo vya afya.

Jensen Kato by Jensen Kato
June 16, 2020
in Elimu
0
Share on FacebookShare on Twitter
WIZARA ya Maji katika mwaka wa fedha ujao itatenga Sh.Bilioni 2 kwa ajili ya kupeleka huduma ya maji kwenye mashule na vituo vya afya.
Hayo yalibainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Kitila Mkumbo wakati akizindua bomba la maji lililojengwa na wizara hiyo kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Singida (SUWASA) kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa Corona katika Shule ya Sekondari ya Tumaini iliyopo Iramba mkoani Singida mwishoni mwa wiki.
Mkumbo alisema wizara hiyo mwaka huu wa 2020/ 2021 wameanzisha programu maalumu ya kupeleka huduna za jamii kwenye taasisi za za kijamii kwa maana vituo vya afya na shule za sekondari na msingi.
” Tunachokifanya leo hapa ni kutoa alama mbili, alama ya kwanza ni kuonesha mwaka unaokuja tunakwenda kutekeleza programu ya kupeleka maji kwenye taasisi zetu.Lakini ya pili ni kama alivyoagiza Rais wetu Dk.John Magufuli shule zetu zifunguliwe huku tahadhari ya kujikinga na na Corona hivyo tuliwaelekeza wataalamu wetu wasaidie kutengeneza miundombinu ya kunawa mikono kwa sabuni na sisi tutatoa mchango wa maji na Halmashauri zitoe sabuni.” alisema Mkumbo.
Alisema kwa Mkoa wa Singida waliichagua shule kongwe ya Tumaini na pia mtu huwa haachi nyumbani kwao kwa vile na yeye anatoka eneo hilo akaona ni vizuri msaada huo ukapelekwe kwenye shule hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa SUWASA Mjini Singida,  Mhandisi Patrick Nzamba alisema wamejipanga kuhakikisha wanajenga miundombinu ya kutoa maji.
Alisema sambamba na hilo wameweza kuweka vituo vya kunawia sehemu mbalimbali katika Manispaa ya Singida, Soko la Kimataifa la Vitunguu, Stendi ya Mabasi na sasa katika shule hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula alisema msaada huo katika shule hiyo ni wa kizalendo hivyo akatoa rai ya kuhimiza miundombinu kutunzwa.
Mkuu wa shule hiyo, Honoratha Ndiaji alishukuru kwa kusema kuwa msaada huo kwao ni faraja kubwa.
Kwa upande wake Mwanafunzi wa Kidato cha Sita katika shule hiyo, Alice Katunzi alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuruhusu kidato cha sita kuendelea na masomo hivyo wamemuahidi watahakikisha wanafunzi wote wakidato hicho nchi nzima wanapata alama A.
ADVERTISEMENT
Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

IJUE HII SHERIA KUHUSU MAHUSIANO

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In