• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, September 22, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wanahisa Vodacom wakubali hisa za Rostam Aziz kuuzwa

Asilimia 88.18 ya wanahisa wa kampuni hiyo wameridhia mauzo hayo yatakayoifanya kampuni ya Vodacom Group kuwa na umiliki mkubwa zaidi.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 21, 2018
in HISA
0
Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Rostam Aziz

Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Rostam Aziz

Share on FacebookShare on Twitter

Baada ya kufanya mkutano mkuu wa dharura, wanahisa wa kampuni ya Vodacom wameikubalia kampuni ya Vodacom Group kununua asilimia 25.25 ya hisa ambazo hapo awali zilikuwa zikimilikiwa na kampuni ya Mirambo Holdings iliyo chini ya mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz. Mkutano huo umefanyika jijini Dar es salaam ambapo kwa mujibu wa Mkaguzi wa ndani wa hesabu za fedha Alvin Kajula, asilimia 88.18 ya wanahisa wa kampuni hiyo wameridhia mauzo hayo yatakayoifanya kampuni ya Vodacom Group kuwa na umiliki mkubwa zaidi.

ADVERTISEMENT

Hii inakuwa mara ya pili kwa Aziz kuuza hisa anazomiliki katika kampuni hiyo tangu mwaka 2014 ambapo aliuza asilimia 17.2 ya hisa zake kwa Dola za Marekani 240 milioni. Vodacom Tanzania ni ya pili kwa kuchangia faida na mapato ya Vodacom Group kwa kuwa na jumla ya wateja waliosajiliwa milioni 13, ikiwa chini ya Afrika Kusini ambapo mtandao huo una watumiaji zaidi ya milioni 23.

Mpango wa Vodacom Group kununua hisa za Vodacom Tanzania uliwekwa wazi tangu Februari mwaka jana na hadi sasa, taratibu zimeshakamilika. Tume ya Ushindani wa Biashara Tanzania (FCC) ilitoa tangazo la mpango wa Vodacom Group kununua hisa za Vodacom Tanzania mwezi Mei na kuruhusu yoyote mwenye pingamizi na mpango huo kuwasilisha hoja zake.

Tags: FCCHISARostam AzizVodacom GroupVodacom Tanzania
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wakulima walia tozo kulipwa kwa dola

Waziri Hasunga: Sekta ya kilimo haina sababu ya kutofanikiwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In