• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mapato ya serikali yazidi kuongezeka Mirerani

"Jamii imeendelea kupata imani na serikali kwani matokeo ya ujenzi wa ukuta huo yameanza kuonekana"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 16, 2018
in FEDHA
0
Soko la madini lazinduliwa Chunya
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amesema mapato ya serikali yanayotokana na migodi ya Tanzanite Mirerani mkoani humo yameongezeka kutoka Sh. 402 milioni miezi kumi iliyopita hadi Sh. 2.1 bilioni kufuatia kujengwa kwa ukuta kuzunguka eneo hilo ili kudhibiti utoroshwaji wa madini hayo. Mnyeti amesema hayo wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya mkoa huo kwa Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo wilayani Simanjaro kwa ziara ya kikazi.

ADVERTISEMENT

“Ukuta unaendelea kuleta miujiza ya aina yake, serikali imefanya kazi kubwa kwa kukusanya Sh. 2.1 bilioni, ikiwa ni sawa na ongezeko la Sh. 1.7 bilioni sawa na asilimia 425. Kabla ya kujengwa ukuta kituo cha TRA Mirerani kilikuwa kikikusanya Sh. 402 milioni tu, lakini baada ya ukuta, kituo kimekusanya Sh. 2.1 bilioni ikiwa ni ongezeko la Sh. 1.7 bilioni. Sasa hii ndiyo miujiza ambayo mnapaswa kuijua, tumeongeza mapato kwa asilimia 425 hii ni ajabu, lakini ndio ukweli, hapo bado mrahaba”. Ameeleza Mnyeti.

Mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa kufuatia makusanyo kuongezeka, jamii imeendelea kupata imani na serikali kwani matokeo ya ujenzi wa ukuta huo yameanza kuonekana. kwa upande wake, Makamu wa Rais amepongeza jitihada kubwa zinazofanyika mkoani humo ili kuhakikisha pato la madini linaongezeka.

Tags: madinimaendeleomapatoMirerani
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Malipo korosho kukamilika mwezi huu

Watendaji waagizwa kusimamia ubora wa korosho

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In