• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Taasisi za fedha, wajasiriamali kupigwa msasa

Mkakati huo utakaoanza mwakani unawalenga walimu wa masuala ya elimu ya fedha hasa walioko mashuleni kwa ajili ya wanafunzi, maofisa ushirika kwa ajili ya vyama vya kuweka na kukopa fedha pamoja na maofisa maendeleo ya jamii watakaoelimisha vikundi vya kijamii vinavyokopa kwenye halmashauri.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 5, 2018
in FEDHA
0
Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la SBFIC Noel Safe akizungumza kwenye hafla ya  kufunguliwa kwa ofisi za shirika hilo Ilemela jijini Mwanza.

Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la SBFIC Noel Safe akizungumza kwenye hafla ya kufunguliwa kwa ofisi za shirika hilo Ilemela jijini Mwanza.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Savings Bank Foundation for International Cooperation (SBFIC) nchini, Steven Noel Safe amesema shirika hilo lipo kwenye mikakati ya kutoa elimu ya fedha kwa taasisi ndogo za kifedha nchini ili kutafuta ufumbuzi bora wa masuala ya kuweka na kukopa fedha. Safe amesema hayo kwenye hafla ya ufunguzi wa ofisi za shirika hilo na kusema wanalenga kutoa elimu kwa wananchi hususani wajasiriamali kuhusu namna ya kuweka na kukopa kwenye taasisi za fedha.

Mkurugenzi huyo amefafanua kuwa mkakati huo utakaoanza mwakani unawalenga walimu wa masuala ya elimu ya fedha hasa walioko mashuleni kwa ajili ya wanafunzi, maofisa ushirika kwa ajili ya vyama vya kuweka na kukopa fedha pamoja na maofisa maendeleo ya jamii watakaoelimisha vikundi vya kijamii vinavyokopa kwenye halmashauri.

ADVERTISEMENT

“Changamoto kubwa ni watanzania tunapopata miradi tusifikirie itadumu milele, tunatakiwa tuifanye kwa weledi ili tuendelee. Pia tumezoea wageni wanaotoa posho na hatutaki kuchangia chochote na wakiondoka miradi mingi inakufa na hakuna maendeleo yoyote. Kwa elimu tunayotoa, tunataka mwananchi ajue kila kitu ili achague mwenyewe akakope wapi kwa riba nafuu”. Ameeleza Safe.

Akielezea mikakati ya kimenejimenti ya kukuza biashara ya taasisi husika, Safe amesema hadi sasa, shirika hilo limefanya kazi na Benki ya Posta (TPB), Karagwe Development and Conservation Agency (KARUDECA), Tanzania Association of Micro Finance Institutions (TAMFI), SELF Microfinance Fund na Tume ya Ushirika Tanzania.

Tags: elimumikopoSBFICwajasiriamali
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Vifungashio vya korosho vyawasili nchini

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In