• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Jiajiri kupitia biashara ya Bakery

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Katika harakati za hapa na pale ili kuwa na maisha bora na kipato cha uhakika, kujiajiri kumekuwa mkombozi wa watu wengi. Moja kati ya biashara ambazo hufanya vizuri sana hapa nchini ni utengenezaji wa keki. Biashara hii inaweza kuanzishwa kwa mtaji mdogo na kuendelezwa kadri siku zinavyoenda na biashara inavyokuwa. Ni biashara ambayo huweza kuendeshwa mwaka mzima kwani haiangalii msimu maalum. Yafuatayo ni baadhi ya mambo muhimu ya kuzingatia kama unafikiria kuanzisha biashara hii.

Umakini mkubwa unatakiwa wakati wa kutafuta eneo la biashara hii. Kama biashara nyingine, biashara hii inapaswa kuwa mahali ambapo watu wanaweza kuiona na kupata huduma kwa urahisi. Angalia eneo ambalo lina mzunguko mkubwa wa watu kwani inakuwa fursa nzuri kujitangaza na kuwafikia wateja wengi kwa wakati mmoja.

ADVERTISEMENT

Ni muhimu kuwa na vifaa vyote vinavyohitajika kutengeneza bidhaa bora. Biashara ya kutengeneza keki haiwezi kufika mbali bila ya kuwa na vifaa hivyo kabla ya kufungua biashara hii ni vizuri kuwa na uhakika wa vifaa ili kuepuka usumbufu wa aina yoyote baada ya kufungua biashara yako. Vilevile kutokana na biashara hii kutegemea umeme kwa asilimia 100 ni muhimu kuwa na jenereta ili kutopata hasara kila tatizo la umeme linapojitokeza.

Hakikisha umefuata taratibu zote zilizowekwa na mamlaka husika ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza. Ni muhimu kusajili jina la biashara yako, kupata leseni, kupata TIN, kuwa na kibali kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na taratibu nyingine ili kuhalalisha ubora wa bidhaa zako na vilevile kuwapa wateja uhakika kuwa kile unachofanya kinatambulika na mamlaka husika.

Kama ilivyo kwa biashara nyingine yoyote ni lazima kuwa mbunifu katika utengenezaji wako wa keki. Usiogope kuwa tofauti na kufanya vitu ambavyo watu wengi hawafanyi. Ubunifu ni muhimu sana katika biashara hii kwani ndio kitu pekee ambacho kitafanya bidhaa yako kupendwa na kupokelewa vizuri sokoni. Hivyo usichoke kujifunza kutoka kwa wengine, kusikiliza ushauri na hata kutumia mitandao tofauti kufahamu zaidi ili uwapatie wateja wako kilicho bora.

Biashara hii imeweza kuonyesha mafanikio kwa wengi ambao wanaifanya. Ni muhimu kuwa na malengo na kufanya kazi kwa bidii ili kuyatimiza. Pia biashara hii ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kuendeshwa na familia au kundi la wajasiriamali au mtu mmoja kama wengine wanavyofanya. Kwa wale wanaofikiria kujiajiri, biashara hii ni fursa nzuri endapo una ujuzi na utaalamu wa kutosha. Vilevile, unaweza kusomea na kujifunza kutengeneza keki kisha kujiajiri mwenyewe na kujiingizia kipato,.

Tags: ajiraBakerybiasharaTFDA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Serikali kuchochea uzalishaji pamba

TMX kuanza kazi Mei

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In