• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Faida za kulima mbogamboga

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Umeshawahi kufikiria kuingia katika shughuli za kilimo? Vijana wengi hapa nchini hivi sasa wamekuwa wakijishughulisha na masuala ya kilimo kama njia mojawapo ya kujiajiri na pia kutoa ajira kwa wengine. Kilimo cha mbogamboga kimekuwa kikipata umaarufu hapa nchini na watu wengi zaidi wamekuwa wakijiajiri kupitia kilimo hicho. Zifuatazo ni baadhi ya sababu kwanini kilimo cha mbogamboga ni fursa nzuri kwa vijana.

Kilimo hichi huitaji mtaji mdogo tu. Kilimo cha mbogamboga kinaweza kuanza katika eneo dogo hivyo gharama za kuendesha zinakuwa chini. Bustani inaweza kuanzishwa nyumbani katika eneo dogo na mkulima anapaswa kuhakikisha kuwa upatikanaji wa maji na mbolea ni wa uhakika. Pia inatakiwa kupulizia dawa kuhakikisha wadudu hawaharibu mboga. Ni kiasi kidogo tu cha fedha kinahitajika ili kujishughulisha na aina hii ya kilimo.

Kilimo cha mbogamboga ni njia nzuri ya kujiajiri. Baada ya kupoteza muda mwingi kuhangaika kutafuta kazi. Kilimo hiki ni njia mbadala kujiajiri na kujiingizia kipato. Hakihitaji gharama kubwa hivyo inakuwa rahisi zaidi kujiajiri. Pia inawezekana kujiunga katika vikundi na kuwa wengi ili kuzalisha zaidi na kujiongezea kipato. Hivyo vijana watumie fursa hii kujiajiri na kujiingizia kipato.

ADVERTISEMENT

Kilimo hiki hakichukui muda mrefu kuonyesha mafanikio. Mbogamboga huchukua muda mfupi hivyo fedha utakazopata katika biashara hii zinaweza kutumika katika shughuli nyingine za maendeleo na hivyo mbogamboga ni sekta nzuri ya kuwekeza. Fedha ambazo utazipata zinaweza kutumika kuwekeza katika mambo mengine na kujiweka katika nafasi nzuri zaidi kiuchumi.

Vijana wajifunze aina hii ya kilimo ili wajiweke katika nafasi nzuri zaidi ya kujikwamua na umaskini. Kilimo cha mbogamboga mbali na kuwa na faida kubwa pia kinawasaidia vijana wengi kujitegemea kifedha hivyo kujiweka katika nafasi nzuri kiuchumi. Mashirika na taasisi za serikali pamoja na zile zisizo za serikali ziendelee kushirikiana na wakulima wadogo ili kuwasaidia kuwainua wakulima hao.

Tags: ajirabiasharambogambogamtaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Jiajiri kupitia biashara ya Bakery

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In