• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vijana na biashara ya kuku choma Dar

Dar na biashara ya kuku choma usiku

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
September 12, 2022
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ukipita maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam hasa nyakati za usiku, utawaona vijana wakifanya biashara ya kuuza kuku choma kandokando mwa barabara.

Biashara hii imeshamiri na imewasaidia vijana wengi kujiajiri na kujipatia kipato.

Watu wengi wanapotoka makazini na kwenye pilika pilika za kila siku, hupitia kitoweo hicho cha kuku choma kwa ajili ya mlo.

Wengine husimama na kula hapo hapo huku wengine wakiagiza kufungiwa (take away) na kwenda nacho nyumbani kula na familia.

ADVERTISEMENT

Kitoweo hicho, kimeonekana kuwa rahisi kutokana na bei yake pamoja na kuwa kipo tayari kwa kula, yaani kimeshaandaliwa na kuchomwa vizuri.

Kuku hao huuzwa kati ya Sh 2000 na Sh 2500 kwa kipande.

Idi ni kijana anaefanya biashara ya kuuza kuku choma eneo la Kimara, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.

Anasema biashara hiyo inamsaidia kumpatia kipato na kuendesha maisha yake.

“Kwa kweli japo hali ni ngumu lakini biashara hii ya kuuza kuku wa kuchoma inanisaidia, napa faida na ndio maana hadi sasa naifanya.” Amesema Idi.

Ameeleza kuwa kwa siku anachoma kuku hadi 80 huku akibainisha kuwa anapata faida ya Sh 1000 kwa kila kuku.

“Faida inapatikana Sh 1,000 kwenye kila kuku, na faida yenyewe inatokana na firigisi na shingo. Ingawaje faida sio kubwa lakini sio sawa na bure.” Amesema.

Akizungumzia swala la changamoto Idi anasema “changamoto kubwa ni karatasi za kufungashia chakula (Foil paper) ambapo bei yake imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Tulikuwa tunanunua Sh 10,000 lakini sasa hivi tunanunua hadi Sh 14,000”.

Mmoja wa wateja wa Idi aliejitambulishwa kwa jina la Irene anasema anapenda kitoweo hicho kwani mbali na kuwa na ladha nzuri, pia hurahisisha mlo wake wa usiku.

“Nikitoka kazini napitia hapa nauua kipande cha kuku japo sio kila siku, naaweza kula na ugali ama ndizi za kukaaga, na wakati mwinginne akula kipade hicho a matunda nalala, yaani haawa kuku wamerahisisha sana suala la mapishi maana wakati mwingine unakuwa umechoka na kazi.” ameeleza.

 

Tags: biasharaDar es salaamkukuTanzaniauchumiujasiriamalivvijaa
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Picha na mtandao |Pincipia Pilot

Mitandao ya kijamii na fursa kiuchumi

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In